Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafikiri wadau watasaidiaNje ya boksi:-
Je kuna spray au dawa ya kusafishia safari boot bila kuathiri ubora wake.
Au aneyejua jinsi ya kusafisha viatu jamii ya safari boot anielekeze tafadhali.
Ni kitambaa mkuuNi moja kati ya kazi zangu, hayo masofa ni ya Ngozi au Kitambaa?
Yamechafuka sana? Na uchafu ni wa vumbi au pamoja na mafuta?ni kitambaa mkuu
Ngoja nami nimsubiri mtalamu hapa tujue namna gani yakusafisha sofa zakitambni kitambaa mkuu
ndiyo, yamechafuka haswaa....si unajua watoto. mostly, uchafu ni vumbi tuYamechafuka sana? Na uchafu ni wa vumbi au pamoja na mafuta?
Hiyo spray haitokusaidia chochote, unatakiwa uanze na sabuni kwanza halafu hiyo Foam Cleaner unakuja kuitumia kama Polishndiyo, yamechafuka haswaa....si unajua watoto. mostly, uchafu ni vumbi tu
loh, shukrani sana kiongozi!Hiyo spray haitokusaidia chochote, unatakiwa uanze na sabuni kwanza halafu hiyo Foam Cleaner unakuja kuitumia kama Polish
Karibuloh, shukrani sana kiongozi!
Japo ungeeleza unapatikana wapi chiefKaribu
Ila kama haitodhuru, naweza kuifanya pia ni kazi zangu hizo pamoja na kusafisha Mazuria
Sasa hizo sofa za kitambaa ukipiga sabuni zikalowa zitakaukaje mkuu, nami huwa nawaza sana kuhusu hili.Karibu
Ila kama haitodhuru, naweza kuifanya pia ni kazi zangu hizo pamoja na kusafisha Mazuria
ahsante sana kiongozi, nimekuelewa vizuri.......ikilazimu tutawasiliana. upo mkoa gn ndugu?Karibu
Ila kama haitodhuru, naweza kuifanya pia ni kazi zangu hizo pamoja na kusafisha Mazuria
Karibu
Ila kama haitodhuru, naweza kuifanya pia ni kazi zangu hizo pamoja na kusafisha Mazuria
Mi huwa nafua zen nazisimamisha zinachuja maji pia nafungua madirisha ndani ya siku mbili zinakaukaSasa hizo sofa za kitambaa ukipiga sabuni zikalowa zitakaukaje mkuu, nami huwa nawaza sana kuhusu hili.
Petrol inasaidia sana mkuuNje ya boksi:-
Je, kuna spray au dawa ya kusafishia safari boot bila kuathiri ubora wake.
Au aneyejua jinsi ya kusafisha viatu jamii ya safari boot anielekeze tafadhali.
Maelekezo tafadhaliPetrol inasaidia sana mkuu
Nipo Dar Es Salaam nduguJapo ungeeleza unapatikana wapi chief