Kwizer
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 420
- 688
Usidanganywe ndugu, utamaliza sofa zako bila kutarajiaMaelekezo tafadhali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usidanganywe ndugu, utamaliza sofa zako bila kutarajiaMaelekezo tafadhali
Acha kudanganya watuPetrol inasaidia sana mkuu
Spray ipo ila pia inategemea na namna lilivyochafuka, nikueleze kitu tu ndugu. Usafi wa Mazuria hata nguo tu ni very complicated na inahitaji uangalizi wa karibu sana. Ila likisafishwa vyema kwa maji mengi na sabuni hiyo harufu unayoilalamikia hutoisikiaMkuu kwa Mazulia usafi wake inakuwaje tafadhali? Je, kuna spray inaweza safisha bila kuloanisha kwa maji?
Kuna watu niliwapa wakatumia maji naona mazulia hayajatakata vizuri na yanatoa harufu. Imebidi niyatoe kwanza.
Nipo Dar es Salaamahsante sana kiongozi, nimekuelewa vizuri.......ikilazimu tutawasiliana. upo mkoa gn ndugu?
Huzimwagii maji kama unavyofua nguo, kuna namna ya kukisafisha kitambaa hiko kwa sabuniSasa hizo sofa za kitambaa ukipiga sabuni zikalowa zitakaukaje mkuu, nami huwa nawaza sana kuhusu hili.
Habarini! M/Mungu aendelee kuwajaalia afya njema!
Naomba kujua kuhusu uwepo wa spray ya kusafishia masofa. Inaitwaje na gharama zake zikoje?
Ahsanteni
Mkuu kwa Mazulia usafi wake inakuwaje tafadhali? Je, kuna spray inaweza safisha bila kuloanisha kwa maji?
Kuna watu niliwapa wakatumia maji naona mazulia hayajatakata vizuri na yanatoa harufu. Imebidi niyatoe kwanza.
Nje ya boksi:-
Je, kuna spray au dawa ya kusafishia safari boot bila kuathiri ubora wake.
Au aneyejua jinsi ya kusafisha viatu jamii ya safari boot anielekeze tafadhali.
Zinaitwaje?zipo dawa nzuri mkuu nauza kwa bei nzuri
Mimi nimeuliza kuhusu viatu jamii ya safari boot si masofaUsidanganywe ndugu, utamaliza sofa zako bila kutarajia
Zinaitwaje?
Ok, ila bado nakusihi. Usije jaribu kusafishia PetrolMimi nimeuliza kuhusu viatu jamii ya safari boot si masofa
Unaiuzaje na ina ujazo ganiwashing wax nauza kwa bei nzuri
maelezo zaidi kiongozi......Zipo dawa nzuri kabisa za kuondoa madoa yote,nauza
Ipi inafaa?Ok, ila bado nakusihi. Usije jaribu kusafishia Petrol
Nenda kwa fundi viatu umuulize ila na yeye kama atakwambia anasafishia Petrol achama nae. Petrol inamaliza kiatu huwez aminiIpi inafaa?
Toa maelekezo watu wajifanyie self service maana sio woté wanaweza kuja ofisiñ kwako Dar au Dodoma
Si uweke hiyo njià Mbadala kwa faida ya wote humuNenda kwa fundi viatu umuulize ila na yeye kama atakwambia anasafishia Petrol achama nae. Petrol inamaliza kiatu huwez amini
Huenda Ni siri[emoji19][emoji19]Si uweke hiyo njià Mbadala kwa faida ya wote humu
Hapo ndipo kwenye shida.Huenda Ni siri[emoji19][emoji19]