Hivi kuna staa mrembo Africa Mashariki wa kumuzidi Huddah uzuri?

Kwa vile umesema kwa walio maarufu sawa,kinyume na hivo huyo anasubiri sana kwa mchepuko wangu.

Mkuu hii mali bado unaifanya mchepuko? Utalia muda sio mrefu, ngoja akina MO11 wapite mitaa hii.
 
khaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha kuvipa sifa vitu vya kijinga..
hudda ana uzuri gani??
wa kukaa uchi na kunyoa pank labda...
watoto wakali Tz tunao

huddah ashindane na vera kwanza afu aje
 
Kwa kiswahili cha Nairobi kanaitwa 'kademu kasupu'.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…