Hivi kuna staa mrembo Africa Mashariki wa kumuzidi Huddah uzuri?

Huddah sio mzuri kajiweka weka tu, u diva fulani, but she is not attractive as such.. Kuna warembo bwana ukimwona mpaka unashikwa tumbo la kuhara
 
I wish ungemuona uhalisia wake miaka kadhaa iliyopita, in short she's too artficial.
 
urembo ungekuwa kipaji cha mpira basi huyo angekuwa anacheza kwa mkopo Mwadui FC.
 
Kama huyu ndo wa kwenye BBA,basi kabadirika sana
 
Hivi sifa za uzuri wa mwanamke ni zipi, weupe, wanja, macho madogo, makalio makubwa ...?
 
Hahaaaaaa kumbe huu ndio uzuri [emoji4]
 

Attachments

  • 1473680193265.jpg
    33.2 KB · Views: 244
beauty is in the eye of the beholder
Hayo ni maneno ya kuwafariji wanawake ambao sio wazuri/warembo. Ukweli ni kwamba sio kila mwanaume anapenda kuishi na mwanamke mzuri/mrembo ila kila mwanaume humtolea macho mwanamke mrembo na pia hutamani kulala nae at least once.
 
Uzuri ni gharama sana, mwanamke anatakiwa ale sana matunda na vyakula vya asili, pia anywe maji mengi. Pili lazma afanye mazoezi ili kuondoa manyama uzembe na kitambi. Tatu apunguze kunywa pombe na chemicals kama soda.
Sasa wanawake wa Dar uta waua kwanza ndio waache kula kitimoto rost, michemsho, Chipsi na kunywa bia. Altenative ya kula vitu hivyo ni kuwa na pesa na kula madawa ya kuregulate mafuta mwilini na kununua mamake up ya kutosha.
 
Kwan huyo Huddah anafanya issue gan ni model au??
 
Hayo ni maneno ya kuwafariji wanawake ambao sio wazuri/warembo. Ukweli ni kwamba sio kila mwanaume anapenda kuishi na mwanamke mzuri/mrembo ila kila mwanaume humtolea macho mwanamke mrembo na pia hutamani kulala nae at least once.
Unadhani kuna mwanamke mzuri/mrembo kwa universal standards?..I mean ''Universal'' literally..Mzuri kwako aweza asiwe mzuri kwa wengine..that's a FACT.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…