ni kweli kinachomsaidia jinsi anavyojiweka !sio mzuri huyu ukikutana naye hajapaka make up lazma utoke nduki
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Weka na ya mother house sasa!
Duniani huwezi kupata kitu kinachopendwa na kila mtu au kinacho kubaliwa na kila mtu. Tunacho angalia ni percentage ya wanao kikubali au kukipenda hicho kitu.Unadhani kuna mwanamke mzuri/mrembo kwa universal standards?..I mean ''Universal'' literally..Mzuri kwako aweza asiwe mzuri kwa wengine..that's a FACT.
Huo ni Ukweli Mchungu kwa hawa Dada zetu. Ila Kwa Shilole una muonea bure, Shilole ni std VII tena aliye somea Igunga akazalishwa watoto wawili huko huko Igunga, akaanza kufanya kazi ya Mama ntilie. Lakini leo hii anawekeana msuli na kina Wema na Aunt Ezekieli ambao wamezaliwa Dar na kukulia Familia Bora!!Ninachokipenda kuhusu mademu wa Kenya/Ug ni vichwa, yani wanajielewa sana, nimeshawasikiliza interview za zari, huddah na vera yani wako smart sana kichwani na ni wajanja sana ndio maana hawafanyi umalaya cheap, wao umalaya wao ni international coz lugha inapanda na wana IQ kubwa tofauti na mademu wa kibongo, wengi wazuri wa sura na shepu but kichwani hamna kitu, sikiliza interview ya wema, shilole, aunty Ezekiel, wolper, johari utajua ninachomaanisha, nawatoa jide na demu wa jux nimemsahau jina
View attachment 394796hivi kuna staa mwingine Afrika mashariki ni mrembo na mzuri kumzidi huddah maana huyu binti huwa nachungulia picha zake kwenye page yake naona kila siku anazidi kuwa mrembo na mzuri,ki ukweli wenye mpunga mrefu wanafaidi Sana maana inaonyesha huyu binti bila mpunga huwezi mpata.
percentage kwa sample na vigezo vipi?...Duniani huwezi kupata kitu kinachopendwa na kila mtu au kinacho kubaliwa na kila mtu. Tunacho angalia ni percentage ya wanao kikubali au kukipenda hicho kitu.
Nakupa hiyo kama homework, anza hapa JF hesabu idadi ya walio mkubali HUDDAH na walio mkataa.percentage kwa sample na vigezo vipi?...
Kunywa bia 10 kwa bill yang aki umeongea ukweli Sana warumiNinachokipenda kuhusu mademu wa Kenya/Ug ni vichwa, yani wanajielewa sana, nimeshawasikiliza interview za zari, huddah na vera yani wako smart sana kichwani na ni wajanja sana ndio maana hawafanyi umalaya cheap, wao umalaya wao ni international coz lugha inapanda na wana IQ kubwa tofauti na mademu wa kibongo, wengi wazuri wa sura na shepu but kichwani hamna kitu, sikiliza interview ya wema, shilole, aunty Ezekiel, wolper, johari utajua ninachomaanisha, nawatoa jide na demu wa jux nimemsahau jina
JIBU SWALI...Nakupa hiyo kama homework, anza hapa JF hesabu idadi ya walio mkubali HUDDAH na walio mkataa.
Hata. kwa kiswahili cha nairobi kanaitwa pokoKwa kiswahili cha Nairobi kanaitwa 'kademu kasupu'.