Hivi kuna tafauti ya Utongozaji baina yetu na wazungu ?

kwa mzungu kama unataka ngono ni sawa tu na kunywa soda/bia! Demu mmoja aliwahi kuniambia kuwa Dandabo if I love u 2day it doesnt mean that I will love u 2morow! Nilichoka kabisa!
 
Mzungu wa kwangu ckutongoza, tulizoeana sana baadaye tunakawa tunatoka mara kwa mara. Then tukaanza romance kwenye gari baadaye nikala mzigo hadi leo tunapendana.
 

Da-Kaunga sa unakuaje unatutia vijiraharaha vya utamu katika comment yako alafu humalizii viutamu vya mwishoni !
Not fair play bwana!
En'hee baada ya huyo Mzungu kum'push aside Shost wako akakufukuzia wewe ali-Score ? (alicheka na nyavu ?)
 
 
ukiwa na muonekano mzuri kung'oa mzungu sijui inakuaje!!!ngumu sana naona!
 
Kuna utofauti saaaaana, mbongo ukichukua tu namba yake tayari umebeba.
MP.
 
sijui ulimbuke kwani sijui jibu zaid ya hili kutongoza kuna utofaut kwan si tumeona kwa sista duu wa bongo akitongozwa na mimi kaserengeti boy au kazee ka kibongo 50 yrs na matusi juu utatumia kila kitu na mbunye usipate ila kababu ka kidhungu miaka 80 nakuendelea neno 1 tu kakubari na mpaka ndo anatoa bila kuombwa.
 
Da-Kaunga sa unakuaje unatutia vijiraharaha vya utamu katika comment yako alafu humalizii viutamu vya mwishoni !
Not fair play bwana!
En'hee baada ya huyo Mzungu kum'push aside Shost wako akakufukuzia wewe ali-Score ? (alicheka na nyavu ?)

No hakuscore; nilimuona ni player flani, maana imagine unamuacha mdada chumbani anpweta then unaenda kuomba kwa rafikiye sebuleni. It didn't feel right!
 
HAPO KWENYE RED: to the contrary said:
Ni maoni yako, na u r entitled to them; hivyo sina sababu ya kupingana nawe!
 
No hakuscore; nilimuona ni player flani, maana imagine unamuacha mdada chumbani anpweta then unaenda kuomba kwa rafikiye sebuleni. It didn't feel right!

Nayo ni point chanya !
 

huyo wa rafiki ako au mwingine? maana wengi katka love huwabebea marafiki hii ipoje as u have done it nini chanzo?
 
Wazungu huwa nawashangaa sana,utakuta mtu na akili yake anaongelea "the first kiss"! Wakati wabongo sisi tunazungumzia kushugulikia eneo la tukio kabisa
 
Haha, , nadhani tamaduni zinatofautiana. Mara nyingi wazungu wako straightforward, you don't have to hunt/tongoza them. Kinachohitajika ni mazingira na chemistry tu, huhitaji maneno meengi na uongo kibao. Yaani, mambo hutokea spontaneously!!
 
Kwa wale wenye uzowefu wa kutongoza wazungu na wanawake wa hapa nchi mnatueleza nini katika mada hii?
Wazungu ni watu ambao wako real. Akisema a nakupenda, basi ujue anakupenda kweli. Yaani hawana ile kuongopean
 
wanamme watanzania waktongoza wanaita dada, mdogo wng, shangaz sa m2 unamtongoza alaf unamwita dada shangaz? wazung hawafany ivo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…