FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Kwa kawaida watu woote duniani hufunga usiku kucha na hufungulia asubuhi kwa kufuturu na chai, chapati, mayai n.k.., pia kuna watu wengine wao hupendelea kufunga mchana kutwa na kufuturu usiku/jioni kwa mihogo, ndizi.., magimbi n.k..., hivi tofauti ya makundi haya mawili ni nini hasa..??!
========================
Chai huitwa breakFAST sababu unavunja mfungo (Kufuturu).
========================
Chai huitwa breakFAST sababu unavunja mfungo (Kufuturu).