Hivi kuna tofauti gani kati ya kufunga mchana na kufunga usiku?

Hivi kuna tofauti gani kati ya kufunga mchana na kufunga usiku?

Kwa majibu ya watu kuhusu mada hii ya FRANCIS DA DON tangu 2014 mpaka leo inaonyesha jinsi gani jamaa alivyo smart ila wanaJF ni mapoyoyo na watu wajingawajinga sijaona mtu aliyejaribu kujibu swali.Hii ndo reflection ya jamii ya Watz.

Hao great fools(GREAT THINKERS) wa JF wako wapi kila siku huwa nauliza swali sipati jibu.
 
Kwa kawaida watu woote duniani hufunga usiku kucha na hufungulia asubuhi kwa kufuturu na chai, chapati, mayai n.k.., pia kuna watu wengine wao hupendelea kufunga mchana kutwa na kufuturu usiku/jioni kwa mihogo, ndizi.., magimbi n.k..., hivi tofauti ya makundi haya mawili ni nini hasa..??!

========================
Chai huitwa breakFAST sababu unavunja mfungo (Kufuturu).
Mkuu fasting ni kuacha kula chochote na kufanya yale tunayoyatamani kuanzia macheo hadi machweo.

Usiku unakuwa hukumbani na mambo mengi yakatazwayo mchana. Sanasana kama umeoa na umeolewa unakula vyote😃
 
Mkuu fasting ni kuacha kula chochote na kufanya yale tunayoyatamani kuanzia macheo hadi machweo.

Usiku unakuwa hukumbani na mambo mengi yakatazwayo mchana. Sanasana kama umeoa na umeolewa unakula vyote😃
Mchana Ukiacha kufanya yale (mabaya) unayoyatamani, halafu usiku ndio ukaendelea kufunga kama wengine na asubuhi ukafuturu kwa chai kama wengine, utofauti ni upi?
 
Tofauti ni funga ya kukusudia ya kidini. Hiyo nyingine sio funga ni kupumzika tu kula
Mchana Ukiacha kufanya yale (mabaya) unayoyatamani (kwa kukusudia), halafu usiku ndio ukaendelea kufunga kama wengine na asubuhi ukafuturu kwa chai kama wengine, utofauti ni upi?
 
Back
Top Bottom