Hivi kuna tofauti gani kati ya kufunga mchana na kufunga usiku?

mmmh......unaanza uchokozi!
 

kama maislamu au?????
 

Ngoja nikatafakari vizuri, nisije nikakwaza watu bure hapa!!!
 
Kuna kitu ambacho kinatafutwa hapa na naamini hakiko sahihi hasa kipindi hiki,ila bora wakae kimya maana wataharibiwa ibada yao ya kufunga.
 

Tofauti yake ni kuwa wengine hufunga usiku na wengine hufunga mchana.

Hivi unamiaka mingapi ..?

Usiku na mchana

Fancis ebu jibu umri wako ngapi? Mada zako ziko ki-toddler toddler

Unafiki mtupu.

Mmmh naziona hasira zilee.

Khaa!!! Wewe vipi mbona tofauti ipo kwenye post yako!! Usituharibie saum zetu bana

Tujiulize kwanza,sababu na maana ya kufunga ni nini?

Kufunga au Saumu ni agizo kwa wakristo ili wapate heri na thawabu.

Ni sawa sababu vyote ni tofauti

Ahahahaha lakini kuna ukweli...nlikua sijagundua hili...


Kuna vitu unachanganya,kuna kufunga na kubadili ratiba ya kula badala ya kula mchana unakula usiku kucha alafu mchana kutwa unakua umeshiba,hivyo vitu ni tofauti.

KIMBIA wanakuja,bado umekaa!!!!shaur yako

Kumbe kufunga kazi for some..

Hahahahaha!!!!!!!!" ulichomaanisha ndicho au


Wat d'u mean..??! si nimeandika kiswahili au..?!

Kufunga ni ku_assume huli MCHANA,then USIKU WENGINE WAMELALA WEWE UNAGANDAMIZA MISOSI BALAA!SO TUPOTEZEEE KAMA VIPI.....

mchana unafanya kazi na usiku unalala

 
Ha ha ha!!! Wewe ni mchokozi sasa!!!
 

Fransi da dada, sjui nani wew unafunga usiku? Au usiku unalala? Dunia ipi hiyo wanayofunga usiku? Usiku wew umelala halafu unasema umefunga, labda wewe ni mchawi usiku wakat wenzio wamelala wew unakuwa kwenye ulozi.
 
Wewe funga usiku, tuwache wenye kufunga mchana tufunge, tatizo lako ni nini?

Ngoja kwanza, nkatowe bakuli la faluda ya loz, nione Mmerekani anavyo chakazwa kwa magoli.

Unajuwa faluda ya loz wewe?
 
Kuna watu wanafiki sana!! Wanafunga kichwa cha juu ila hawafungi kichwa cha chini. Ole wao.
 
nani alikwambia kufunga ni kula peke yake!?
 
Wewe funga usiku, tuwache wenye kufunga mchana tufunge, tatizo lako ni nini?

Ngoja kwanza, nkatowe bakuli la faluda ya loz, nione Mmerekani anavyo chakazwa kwa magoli.

Unajuwa faluda ya loz wewe?
La hasha.., nipe ilmu mama faiza.., hahahahah...! ila hivi we huwa hulali..??!
 
Ha ha ha! Sasa unanichekesha. Nakuchokoza tena!!! Wewe unawachokoza watu na imani yao. Kwani wao wanaamini kuwa wamebadili majira ya kula? Wamefunga maana mwezi huu ni mtukufu. Miezi mingine yote fake!!!
acha kunichokoza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…