Hivi kuna uhusiano gani kati ya 'gari' na 'mtoto wa kike?'

Thanx a lot Kingmairo;
Kumbe hawa madem ni kama ndege mjanja? Wengi wanao-drive magari sio ya kwao; ni ya ndugu zao, wazazi wao na marafiki zao, ya kazini n.k. Hizo gharama hawazilipi wao.
 
mkuu heko kwa upembuzi wako yakinifu, pokea na LIKE nyingine tena!!! So literary saying women are very paradoxical than anyone can ever imagin. Veeeeeeeeeeeeeeery true!!!
 

mia! mia! mia! kabisa mkuu,hapo wengi wanajua pana mbolea,better life, yaani uhakika wa maisha mazuri upo. ila ni umaskini tu watu tunaokulia nao tukiamini kuwa mwenye gari ana hela.utopian thinking.

miafrika ndivyo tulivyo: source nyani ngabu.
 
Mie ni kinyume kabisa yaani, nahusudu sana kuendesha gari yangu mwenyewe. mie nafikiri unaongelea mademu wa pale malimbe japo sio wote wapo hivyo, maana kijana akienda hata na gari ya kuazima basi wanafikiri ni ya kwake.
 
Yani nashindwa kabisa kuelewa, ni kwanini watoto wengi wa kike wanashobokea sana magari? Yani hata ajue sio lako, ili mradi kakuona tu unaendesha basi ukimgusia tu anajaa!!! Wengine kwao yapo, tena mengi tu ya kifahari, lkn bado akimuona kidume "anatembelea ------" yaani anadrive lazima ashoboke! Duh...!



[emoji23]
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…