Hivi kuna uhusiano gani kati ya kuoa na kuchepuka?

Hivi kuna uhusiano gani kati ya kuoa na kuchepuka?

Hiyo ni miongoni mwa paradoxes katika maisha au ulimwengu tunaoishi.......

Hiyo inafanana na zile ukiwa na pesa ndio unapata mipango ya kupiga pesa zaidi......

Ukiwa na kazi ndio kazi na fursa zinamimika zaidi.........

Kitu ukiwa unakitafuta hukioni kwa wepesi ingawa kiko bayana lakini ukiwa hukitaki ndio kinazagaa.......

Ukiwa bachela unatumia gharama kubwa kuwa kwenye mahusiano na wanawake lakini ukishaoa hata kama huna kitu wanawake wanakupenda hivyo hivyo.....

Ni hali ya kawaida kwenye mzunguko wa maisha na ndio kipimo tosha akili na uwezo wako wa kuchanganua mambo..........

Na ndio kipimo cha maamuzi yako ya kuoa juu ya uliyemuoa kuwa ulimuoa kwa tamaa au kwa upendo uliojaa moyoni...........

Na pia hichi ni kipimo cha mustakabali mzima wa ndoa yako......unapoanza kuwaingilia wengine unaanza kuleta mringanyo kati ya mkeo na hao wa nje vivo hivyo kwa mwanamke.....na hapo ndipo tamu ya ndoa inapoanza kuingia shubiri....... mapenzi hayagawanyiki........ngono ni uchafu unaotoa haya kwenye nyuso za wanadamu.......ukianza kulala na wanawake wa nje huwezi Tena kumtazama mkeo kwa jicho la huna mpaka pale unapoingiwa na hamu ya ngono..........vivo hivyo kwa wanawake
 
Shetani yupo kwa ajili ya kuhakikisha binadamu wote ana kufa katika upotofu ili apate watu wengi atakao enda nao motoni kadili iwezekanavyo.

Hivyo ukiingia kwenye ndoa kwa kiasi fulani dhambi ya uzinzi unakuwa umeishinda kwa hiyo anacho kifanya ni kuhakikisha unaendelea kuwa mzinifu hata baada ya kuwa kwenye ndoa ili kuhakikisha unakufa katika upotofu ili aongeze idadi ya watu watakao mpa Kampani motoni.
 
!!!
Screenshot_20221228-085538.jpg
 
Ndoa inajenga wivu uko nje,
Hasa Kama unamjali na kumtunza vizuri mkeo, wenzie wakutamani Sana tu[emoji4]
 
Pia Kimtongozano na Kimahusiano,
Mwanaume alieoa amwambia binti neno, anaaminika zaidi kuliko bachelor akijieleza
 
1)Waliooa hupendeza. Nguo hafui yeye.

1)Aliyeoa amethibitisha kuwa hela mbili tatu anazo

3)Aliyeoa ana uhakika wa kujipooza nyumbani hivyo hatatongoza kwa presha, aliyetongozwa atapunguza maringo
 
Hata kwa wanawake,hasa ukipata mume kimeo wanaume wema ndo hujitokeza na kuonekana kwa wingi.Ndo kaz ya mwovu kuwatoa wanandoa katika mstari
Hapo nina amini kweli kabisa ni lengo la kukutoa kwenye uaminifu
 
Mwenye nacho huongezewa.. According to Bible

Na asiye nacho hunyang'anywa hata kile alicho nacho
 
Back
Top Bottom