Hivi kuna uhusiano gani kati ya washika dini sana na roho mbaya/ubinafsi? Maana ni kama hivi vitu havitengani!

Hivi kuna uhusiano gani kati ya washika dini sana na roho mbaya/ubinafsi? Maana ni kama hivi vitu havitengani!

ryan riz

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
423
Reaction score
683
Kichwa cha mada kimejitosheleza, yaani kwa utafiti hawa watu machoni petu huonekana wema na wenye msaada mkubwa sana kwetu.

Ila ukianza kuwa karibu nae ndio utagundua ni watu hatari sana kwenye maisha. Kwako anaweza onekana mwema sababu kilichowakutanisha ni suala la dini tu.

Ila kwa wale wanaoingiliana maisha binafsi(mf. familia, ndugu, marafiki nje dini aliokuwa nao/alionao) wakikueleza muhusika alivyo unaweza usiamini.

1. Washika dini sana wengi wao nafsi na mioyo yao hutawaliwa na husuda, wivu(hapa unakuta bifu kati ya kanisa kwa kanisa, msikitini kwa kanisa, msikitini kwa msikiti, familia kwa familia, ndugu kwa ndugu n.k)

2. Hutawaliwa na choyo na majivuni ndani yao, hapa hakuna kitu watafanya bila kuingiza ubinfsi ndani yao. Yaani kwamba hakuna mwingine anaeweza kufanya kitu flan zaidi yao.

3. Wao ndio hutumia ulimi kama silaha kuu ya vyanzo vya vurugu ndani ya familia nyingi, hasa pale wanapokuwa upande unaowaamini wao, huegemea upande huo huo kwa kisingizio ndio wema(hapa ndoa nyingi zimeenda na maji chanzo kikuu ni wao pale watu walivyowategemea)

4. Kwa wao hali bora za kimaisha za wafuasi wao na ndugu zao ndio watu wao wa karibu na ndio wakutolewa mifano bora kila siku kwenye mahubiri yao. Ila kwa wale duni ndio hutolewa mifano mibaya na hata ndugu zao huwanyanyapaa.

5. Suala la ufuska ni wadau wakubwa mno japo ujitahid. kujifichia humo. Ila wengi wetu mnajua kwenye ziara za kidini vitu gani hufanyika huk?!

Wachache ndio sana wako kuhalisia, yaani maisha ya dini na kibinafsi angalau kidogo huendana.
 
Wale watu unaokuta all the time wanaimba vinyimbo vya dini mara Bwana umenifanya kuwa njia sijui vidude gani aisee wana roho mbaya kinoma[emoji23][emoji23][emoji23]

Nimewaona zaidi ya wawili kibaruani kwetu aiseee acha kabisa wale watu hatari kwa roho mbaya.

Anaweza kupambana ahakikishe hupati ela (hizi extra kama safari, vikao, training n.k)

Sjui hizi dini wanafundishwa vitu gani
 
NI KWELI.

Uzinzi, tamaa ya mali, UCHOYO, ubinafsi, vimewashinda wengi. Na kujiona wao na kikundi chao cha Imani au dini ndo wataiona pepo. Wengine hapana
 
Kichwa cha mada kimejitosheleza, yaani kwa utafiti hawa watu machoni petu huonekana wema na wenye msaada mkubwa sana kwetu....
Utakuja wakati ambapo watu hawatasikiliza mafundisho ya kweli, ila watafuata tamaa zao wenyewe na kujikusanyia waalimu tele watakaowaambia mambo yale tu ambayo masikio yao yako tayari kusikia.

Watakataa kuusikia ukweli, watageukia hadithi za uongo. Wewe, lakini, uwe macho katika kila hali; vumilia mateso, fanya kazi ya mhubiri wa Habari Njema, timiza kikamilifu utumishi wako.

2 Timotheo 4:3-5​

 
Kichwa cha mada kimejitosheleza, yaani kwa utafiti hawa watu machoni petu huonekana wema na wenye msaada mkubwa sana kwetu.

Ila ukianza kuwa karibu nae ndio utagundua ni watu hatari sana kwenye maisha. Kwako anaweza onekana mwema sababu kilichowakutanisha ni suala la dini tu.

Ila kwa wale wanaoingiliana maisha binafsi(mf. familia, ndugu, marafiki nje dini aliokuwa nao/alionao) wakikueleza muhusika alivyo unaweza usiamini.

1. Washika dini sana wengi wao nafsi na mioyo yao hutawaliwa na husuda, wivu(hapa unakuta bifu kati ya kanisa kwa kanisa, msikitini kwa kanisa, msikitini kwa msikiti, familia kwa familia, ndugu kwa ndugu n.k)

2. Hutawaliwa na choyo na majivuni ndani yao, hapa hakuna kitu watafanya bila kuingiza ubinfsi ndani yao. Yaani kwamba hakuna mwingine anaeweza kufanya kitu flan zaidi yao.

3. Wao ndio hutumia ulimi kama silaha kuu ya vyanzo vya vurugu ndani ya familia nyingi, hasa pale wanapokuwa upande unaowaamini wao, huegemea upande huo huo kwa kisingizio ndio wema(hapa ndoa nyingi zimeenda na maji chanzo kikuu ni wao pale watu walivyowategemea)

4. Kwa wao hali bora za kimaisha za wafuasi wao na ndugu zao ndio watu wao wa karibu na ndio wakutolewa mifano bora kila siku kwenye mahubiri yao. Ila kwa wale duni ndio hutolewa mifano mibaya na hata ndugu zao huwanyanyapaa.

5. Suala la ufuska ni wadau wakubwa mno japo ujitahid. kujifichia humo. Ila wengi wetu mnajua kwenye ziara za kidini vitu gani hufanyika huk?!

Wachache ndio sana wako kuhalisia, yaani maisha ya dini na kibinafsi angalau kidogo huendana.
Binafsi siwapendi na hata sitamani kuishi nao karibu.... Ni watu wa ajabu Sana hawa mashetani waliojificha chini ya huo mwanvuli wa dini
 
Umesema kweli. Unakuta mfano MTU ni padre ana mihela na ànaufadhiri mkubwa ana mashule But hana hata ndugu mmoja anayemsaidia. Very shame
Ukiona hivyo jua pesa za kuzimu,hata ukiona tajiri ana pesa lakini ndugu zake ni masikini.
Pesa za mkataba hizo moja ya kigezo ni kutosaidia,akisaidia tu anafilisika.
 
Mtu akiwa na tabia hana dini huyo bali dini ni kichaka cha kuficha maovu yake
 
Mchawi na jambazi ndio watu wanaosali sana na watu wema Sana kwenye Jamii mchana lakini usiombe uingie 18 zao mida yao ya Kazi usiku bora ukutane na simba na koboko kwa pamoja wanaweza wakakuonea huruma.
 
Back
Top Bottom