Hivi kuna uhusiano gani kati ya washika dini sana na roho mbaya/ubinafsi? Maana ni kama hivi vitu havitengani!

Hivi kuna uhusiano gani kati ya washika dini sana na roho mbaya/ubinafsi? Maana ni kama hivi vitu havitengani!

Mchawi na jambazi ukiwagundua ni lzm wakuue hata kama ni damu moja, so kuwa nyumba za ibada sio tiketi ya utakatifu
 
Wale watu unaokuta all the time wanaimba vinyimbo vya dini mara Bwana umenifanya kuwa njia sijui vidude gani aisee wana roho mbaya kinoma[emoji23][emoji23][emoji23]

Nimewaona zaidi ya wawili kibaruani kwetu aiseee acha kabisa wale watu hatari kwa roho mbaya.

Anaweza kupambana ahakikishe hupati ela (hizi extra kama safari, vikao, training n.k)

Sjui hizi dini wanafundishwa vitu gani
Hakuna dini inafunza hayo,hizo ni tabia binafsi za asili ya mtu
 
Kutana na waarusha utaomba pooo,wengi wana roho chafu na mbaya.Hawataki kabila la kuja kufanikiwa .
 
Kuna tajiri alikuwa anajitoa kweli lakini alipoishiwa jamaa wakaanza kumpiga jungu eti alikuwa anaponda raha wakati walikuwa naye.
 
Kuna mmoja alikuwa jirani yangu nashukuru mungu amehama, mke na mume wote Wana roho mbaya zaidi ya Israeli.
Wabinafsi hatari, hawapendi kuona unawazidi kwa chochote,
Watu wa kujivuna na kujiona bora kuliko wenzao
Matendo wanayowafanyia watoto wa ndugu zao wanaoishi nao ni ya ajabu mpaka mtu unajiuliza huu ulokole ni gelesha tuu
 
Ukiwa tajiri ili uzidi kuwa tajiri inabudi uwasaidie wanao kuzunguka
Sikatai. Tena mimi napenda sana binadamu tuwe tunasaidiana. Ila ninachopinga ni ile mtu anapooana ndugu yake ni tajiri, yeye badala ya kukazana, anakimbilia kulalamika kuwa hasaidiwi. Kutosaidiwa siyo tiketi ya kulalamika.
 
Sikatai. Tena mimi napenda sana binadamu tuwe tunasaidiana. Ila ninachopinga ni ile mtu anapooana ndugu yake ni tajiri, yeye badala ya kukazana, anakimbilia kulalamika kuwa hasaidiwi. Kutosaidiwa siyo tiketi ya kulalamika.
Huyo ni wa kuchapa fimbo
 
Kuna mmoja alikuwa jirani yangu nashukuru mungu amehama, mke na mume wote Wana roho mbaya zaidi ya Israeli.
Wabinafsi hatari, hawapendi kuona unawazidi kwa chochote,
Watu wa kujivuna na kujiona bora kuliko wenzao
Matendo wanayowafanyia watoto wa ndugu zao wanaoishi nao ni ya ajabu mpaka mtu unajiuliza huu ulokole ni gelesha tuu
Ndugu huo ndio ukweli
 
DAAA NIMEKUMBUKA HATA WALE WAKOLONI WAENEZA DINI WALIVYOWASWAGA BABU ZETU HUKU WAKISINGIZIA MUNGU HAPENDI UVIVU!
NINA KI-MKE NI KILOKOLE ILAA ROHO YAKE NI MBAYA,KINAPENDA KUPOKEA NA SIYO KUTOA!
PIA KUJIONA BORA KAMA VILE CHENYEWE NDO KINAZIJUA SIRI ZA ULIMWENGU.UKWELI HAWA WATU WATAKUWA NA MATATIZO FLANI!
 
Back
Top Bottom