Hivi kuna uhusiano wa kwenda Ulaya na kufeli maisha?


Naona umetolea mifano ya wakosaji tu hao walienda kupambana ni kama hapa bongo tu. Mbona mtu akitoka Mwanza akaenda kupambana Mpanda asitoboe hamgombi. Au katoka kwenu huko Kazulambita to Dar mjini kupambana akifail hammsemi.

Karibu whyskey hapa za madiaspora waliorudi na mi c class na kuporomosha mijengo huku ufukweni
 
Kwa inavyoonekana;
1. Ni Slay Queen mmoja aliye date na hao wabeba box wote watatu kwa nia ya kuitafuta fursa mwisho wa siku akaliwa bila kuambulia chochote.
2. Purposeless guys (a branch in bad boyhood ) in a strange way, they are attractive to women. Jobless men have enough time, energy and attention for sex and other adventures.
3. Kuna dhana ya kuwadharau watu/ vijana wanaoishi kwa kutegemea wazazi wao. Kimsingi siyo kosa wala dhambi kwa mtu yeyote wa umri wowote kuishi kwa kuwategemea wazazi wake iwapo wazazi wanao uwezo na upendo wa kumuhudumia. Hata kama una miaka 50 na wazee wako wana 80 na mawe ya kutosha, wewe kula bata achana na kelele za Vyura.

Kama kweli watu waliopo Nyumbani wanaishi vizuri na kuoana kama ulivyosema, kusingekuwepo na makundi ya Slay Queens wanaotembeza maqu kwa wabeba box na kupekuwa wallets zao kisha kutoa report.
 

Mkimaliza mtupatie na wale wenye mafanikio sio kuwanywea biere tu na henessy wakirudi
 
Huyo wa kwanza na stori yako ya kudanga ni nani alie feli maisha kati yako na yeye? Hapo imeshadhihirisha wewe ndo umeshafeli maisha maana unadanga

Hao ndio wanategeaga diasporas na mikwanja yao wjibebishe wale happy weee zikiisha wasepe wadange mwingine. Wengine wanaingia kwny mahusiano hayo na hisabati za kujimimba kabisa wanatega mafanikio.
 

Dah kwa comment zako naona unatafuta vya urithi wa mume by hooks and crooks.
 
We si kuna comment yako humu umewatetea hao wa south A ukasema bora hata hao kidogo wana nafuu[emoji848][emoji848]

Inaelekea mchizi ni mmendeaji sana wa diaspora na washamtumia sana na hivi wakirudigi wanakuaga fire moto na warm blooded down dipping.
 
Reactions: Tui
Sasa Joannah kipi kimebadilika kutoka miaka hio ya 90 huko Europe na sasa watu hawa win tena wakienda?

Mimi naona uko peke yako unayeona ulaya ni pa kawaida, itisha hapo mkutano wa wanaotaka kwenda ulaya uone watakavyojaa maelfu!

Kisha usitudanganye watu wako better huko Tanzania, wakati familia nyingi hazipati milo mitatu and majority lives under 2 dollars per day...

Mwisho km wewe uko Dar usitufokee, jenga kwenu Chitoholi ,lol, ..sio wote wanokuja Dar,wanarudi vijijini wakiwa successful,the same as ulaya...kila mtu apambane na hali yake popote alipo!..lol
 
Wana mbwembwe Sana kila saa utasikia nilivyokua Texas,Mara nilivyokua Ibiza Bora mradi watu wajue alishaenda huko khaaa!
Inategemea na lengo lako la kwenda nje. Kama ulienda kupiga picha basi utarudi na albam ya picha. Ila kama wewe ni fighter ukikaa nje miaka kumi tu ukiwa serious unatoboa vibaya sana
 
Marekani patamu Zaidi kuliko UK
 
Chai. Ulikua Miami ipi?!
 
Ukiwa ulaya kutoboa africa ni rahisi saana ila ukiwa ulaya ni vigumu saana
Pili na vijana wengi wa africa wana fanya wakifika ulaya wana badirisha lifestyle yao wanatumikisha pesa vibaya saana
Ndo maana wengi wao wanaishia kuwa maskini lakini kwa wale wenye akili kutobowa ulaya ni kitu raisi saana tena saana zaidi ya saana
 
Hizi ndio thread zinazowapa Wabongo faraja moyoni.
Kwa kweli nashangaa kejeli na chuki zilizopo humu dhidi ya watu waliopo nje.

Mimi naamini penye - (negative) Pana + (positive) pia. Penye waliofeli Kuna waliofaulu pia. Bahati mbaya failure ndiyo inaonekana na kupigiwa kelele zaidi. Ni husda. Ni kwa sababu hatupendi kuzidiwa.....

Binafsi nawafahamu watu 3 waliohamia Dsm miaka 20+ wakaja kurudi Kijijini kukata miti ya familia kuchoma mkaa. Mmoja wao kaondoka kabla sijaanza darasa la 1 karudi nikiwa nimehitimu shahada. Wakati huohuo Kuna wengi tu wametusua life humuhumu Dsm. Kuna Mama yupo zake USA kila Mara anaporomosha nyumba za kupangisha hapahapa bongo. Kufeli ama kufaulu kupo popote iwe ndani na hata nje ya nchi, it's all about our mind, and mind your own business.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…