Hivi kuna uhusiano wa kwenda Ulaya na kufeli maisha?

Ukisoma Uzi mwanzo mpaka mwisho utapata jibu kwamba siko peke yangu mwenye huo mtazamo....Kubishana na wewe wakati ukweli uko wazi Ni kuchosha akili yangu..Kama wewe ni mmoja Kati ya wale wachache wanao tusua hongera,Ila Kama na wewe ni mmoja katika lile kundi la looser pole dada,,,take your time jipange
 
Asante.ni kweli usemayo
 
Elewa kinachoongelewa....watu wamekili Kuna wanaotusua maisha na Kuna wengi wanaofeli....na wadau wengi wametoa na Sababu za hao watu kufeli...pitia vizuri uzi Kabla hujalalamika
 
Mambo yanaenda fresh tu. Nashangaa bi dada anavyoponda diaspora wakati huku kunazidi kutam tu.
Ngoja nimualike aje atoe ukurutu kichwani kwanza.😁😁
😂😂😂😂😂Pakufikia pazurii papo lakn?sio nije kufikia magetoni huko kwenye mablock mmebanana hamna hata pakulala....sipendagi ujinga
 
Mbona kama haipenyi akilini, nchi za wenzetu kwa nijuavyo mimi kazi zipo nyingi na pay ni uhakika.
Imagine rate ya chini ni usd14 per hour, afu huyu mtu afanye kazi miaka sita aiseee naweza sema ukirudi masikini wewe utakuwa mtoto wa mama uliendekeza starehe na ulimbukeni wa kishamba kabisa ila kwa mtu aliepitia msoto sidhani kama hii inawezekana.
 
🤣🤣🤣🤣🤣Dear X....fanya kazi acha kumbwela
Daaaaah nimebaki kusikitika tu...kuna jamaa nlikutana nae mbele mbele hhhuko tulikuwa tunabadilisha ndege likuwa anaenda US alivyorud mambo anayofanya naona aibu mimi..Yan kababisha nisiwe naenda mayfair yan anaapiga virungu askari wa jiwe wanasubir...Mayfair ndio kituo yake ya kaziii...
 
Sema wewe Kaka umeyaona,Kuna wengine wapo humu wananigombeza eti Sina exposure,eti Mimi Ni wamashambani....lkn Mambo wanayofanya baadhi yao wakirudi ndio haya
 
Sema wewe Kaka umeyaona,Kuna wengine wapo humu wananigombeza eti Sina exposure,eti Mimi Ni wamashambani....lkn Mambo wanayofanya baadhi yao wakirudi ndio haya
Yan mwanaume anaamka anaenda kujitega mayfair ukitokea anakujua kazi unayo, na anajuana na watu wakuu wakuu, siku nkamwona anampiga kirungu nape mh, mwanaume anaish kwa virungu na amekaa sana US, tabia mbaya kbsa
 
Dada endelea na mission yako kutaka kuonyesha mbele hakufai, nimekupa facts ungenijibu kwa facts sio kumbwela mbwela,bye
 
Rebeca 83 Kabla hujaondoka pita hapa
 
Yan mwanaume anaamka anaenda kujitega mayfair ukitokea anakujua kazi unayo, na anajuana na watu wakuu wakuu, siku nkamwona anampiga kirungu nape mh, mwanaume anaish kwa virungu na amekaa sana US, tabia mbaya kbsa
Imagine haogopi hata mheshimiwa!huyo Ni nguli kabisa
 
Na Wanawake wanao olewa na Wazungu na kupelekwa kuishi Ulaya jee? Hawa ni wengi sana ukilinganisha na Wanaume ambao mara nyingi wakienda Ulaya ni kwa efforts zao binafsi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…