Hivi kuna uhusiano wowote kati ya kuwa na akili nyingi za darasani na kuwa kiongozi bora!?

Hivi kuna uhusiano wowote kati ya kuwa na akili nyingi za darasani na kuwa kiongozi bora!?

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Wadau wa jukwaa la siasa naomba mawazo yenu maana nimekuwa nikitatizwa sana na hasa watu wenye vipaji vya uongozi.

Katika makuzi yangu nilishuhudia viongozi wa aina zote.
Yaani wenye uwezo mkubwa dalasani na pia wenye uwezo mdogo na hata uwezo wa kawaida tu dalasani lakini pia wakaongoza vizuri.

Kilichonifanya nifikirie upya ni jinsi watu wengi wanekuwa wakihusisha uongozi mzuri na uwezo mkubwa wa kimasomo ya dalasani.
 
Wewe ni dhahiri hukuwa ukisikiliza mwalimu dalasani.
 
Uongozi bora ni karama elimu inasaidia kuboresha hiyo karama.
 
Wadau wa jukwaa la siasa naomba mawazo yenu maana nimekuwa nikitatizwa sana na hasa watu wenye vipaji vya uongozi.

Katika makuzi yangu nilishuhudia viongozi wa aina zote.
Yaani wenye uwezo mkubwa dalasani na pia wenye uwezo mdogo na hata uwezo wa kawaida tu dalasani lakini pia wakaongoza vizuri.

Kilichonifanya nifikirie upya ni jinsi watu wengi wanekuwa wakihusisha uongozi mzuri na uwezo mkubwa wa kimasomo ya dalasani.
Slow leaner unadhani ana Akili za ki U KIONGOZI

Twende nA TAL
 
Wadau wa jukwaa la siasa naomba mawazo yenu maana nimekuwa nikitatizwa sana na hasa watu wenye vipaji vya uongozi.

Katika makuzi yangu nilishuhudia viongozi wa aina zote.
Yaani wenye uwezo mkubwa dalasani na pia wenye uwezo mdogo na hata uwezo wa kawaida tu dalasani lakini pia wakaongoza vizuri.

Kilichonifanya nifikirie upya ni jinsi watu wengi wanekuwa wakihusisha uongozi mzuri na uwezo mkubwa wa kimasomo ya dalasani.
👍

Swali ni zuri.

Stay curious.
 
Back
Top Bottom