Hivi kuna ulazima wa kuoa/kuolewa??

Hivi kuna ulazima wa kuoa/kuolewa??

Ukiwa na nguvu namaanisha kijana hutaona umuhimu sana na ukifikria nowdayz dunia ni kijiji company kubwa from friends online to websites na physical friends, so ukitoka ofcn ukaingia home u can stay online hadi mid night ukalala so hata hufeel unamiss kitu kivile. Ila umri unavyoenda unaona umuhimu wa somebody to confide to, yaani mwandani ambaye will be there all time, pia hata ile feelig ya there is somebody I am responsible n he is responsible to me inaleta sennse ya security.
Kuna ka umuhimu fulani hivi.
 
kama hautaki vya mafungu na vya kujificha jificha kuoa/kuolewa lazima!
 
Du! CD umeniongezea msamiati.

Back to the topic hao wanaoendesha maisha ki single are not happy at all watu wanatishika na tabasamu zao (fake) na material things. Kuwa na mwenza ndio mpango mzima.

Unawafagilia? wapigie deki kabisa, adha wanayopata unaijua au wasema tu kwa sababu hujui? Kawaulize kabla ya kuwafagilia watakwambia.
 
Du! CD umeniongezea msamiati.

Back to the topic hao wanaoendesha maisha ki single are not happy at all watu wanatishika na tabasamu zao (fake) na material things. Kuwa na mwenza ndio mpango mzima.

Thibitisha kuwa tabasamu zao ni fake! Do you know mother Theresa?
 
Du! CD umeniongezea msamiati.

Back to the topic hao wanaoendesha maisha ki single are not happy at all watu wanatishika na tabasamu zao (fake) na material things. Kuwa na mwenza ndio mpango mzima.

Do you mean kutokuoa/olewa ni kukosa mwenza?? You can be single but in love my dear.......!
 
Back
Top Bottom