Hivi kuna ushahidi gani wa kwamba mimea haipati maumivu inapokatwa?

Kama haipati maumivu basi Mimosa pudica isingekuwa ina kunja matawi inapoguswa
kwa hoja yenu hio bc miti hupata maumivu ikikatwa na furaha ikipapaswa ! Kwanini hisia za maumivu (madai yako) izipate mimosa halafu zisionekane kwa mwembe unaopgwa mawe ?
 
Ushawai ona mmea unaugusa ghafla una sinyaa na baada ya muda huchanua tena.unajua maua marufu kama maua saa 6.hapo kwenye kuhisi mimei inahisi.
Kwahio ukisinyaa kwa kuguswa ndo unakuw umeckia maumivu au raha? Na je tutajua ni wakat gan huo mmea unafurahi na ni wakat gan unahc maumiv?
 
Kwahio ukisinyaa kwa kuguswa ndo unakuw umeckia maumivu au raha? Na je tutajua ni wakat gan huo mmea unafurahi na ni wakat gan unahc maumiv?
Nime reply neno ulilosema kuhisi.rudia comment yako hilo neno halina muunganiko au muendelezo wa tafsiri.ndio mana nami nimemalizia na neno inahisi.bila tafsiri ya hisia.#back 2 skool
 
Hoja nzuri hii
 
Maumivu yapo sema tu haiwezi kuongea, mf. Ukikata mti unavumilia maumivu ila hasira zake unakuangukia na kukufuta katika uso wa dunia.
 
Haina nerves, hata wewe kama ulishawahi kupararaizi au kuvunjika spina cord utaelewa kuwa kama nasi tusingekuwa na nerves tungekuwa tunakatwa vichwa tukicheka
 
Kiumbe hai chochote kina hisia ndomana ukikipa maji,dawa,mbolea nk. Kinanawiri na ukikinyima kinapata taabu na kudhoofika hivyo ukikikata kitakuwa kinaumia japo hakiongei...
Mifumoyake nitofauti lkn haina mifumo yakwetu binadamu.
Mmea ukiuombea pia unastawa nakukupa mavuno ujue
 
Nime reply neno ulilosema kuhisi.rudia comment yako hilo neno halina muunganiko au muendelezo wa tafsiri.ndio mana nami nimemalizia na neno inahisi.bila tafsiri ya hisia.#back 2 skool
sasa ili watu tuelewe ni lazma twend maji marefu kaka ! Tunaomba utufafanulie kwa kina na kinagaubaga hisia za mimea.
 
Hata binadam kuna vitu vikifail mwilin hawez skia maumivu yyte kwaiyo mimea kuna mifumo ambayo haina
 
Wito


Achana na kilevi unachokitumia. Hii ni ishara mbaya kwa afya yako ya akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…