Hivi kuna uwezekano wa kubebana kwa kufuatana Ndani ya Crown ?

Mkuu mnaweza kukubaliana njia ya kawaida ila jinsi zilivyokuwa karibu ukaipeleka kusiko na position uliomuweka muhusika akashindwa kujinasua.
NB: Simaanishi kuhukumu mtuhumiwa,lolote libaweza kuwa lilitokea siju hio.
Hapo labda inawezekana lakini lazima mfanyiwaji alitoa ushirikiano mwanzoni maana sio rahisi. Mimi nikikaa kawaida tu, lazima kiti nivute nyuma.
 
Vipi Mkuu umejaribu kuwaza kama kulikuwa na matumizi kilevi ambacho kingemfanya Mlalamikaji kushindwa kuonyesha ukinzani ili kurahisisha utendekaji wa kosa?
Yaani ulewe hadi ulawitiwe kwenye gari...? Hahahaha
Scenario za ajabu sana
 
Huu ujinga wa huyu mpumbavu RC kwanini tuendelee kuujadili it is as if ni national emergency.

Mpuuzi huyu kwa tamaa zake Acha yamkute.
 
Kuna story ya ulawiti imenifanya niwaze sana hili suala linawezekanaje ndani ya crown .

Wazoefu wa mambo kazi kwenu
Lazima crown mule ndani kulinuka sana kinyesi
Dah tamaa zao mpaka wanafukunyuliwa mtaro

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…