ClassmateMbona mimi na Mwa J tuliweza kwenye bajaji pale seat ya nyuma, sasa crown sina hall kabisa..tehπ
FaizaFixy??Inawezekana, chamsingi asiwe na tako kubwa, ili akipenyua mtaro izame bila tabu.
Subannah wataallah!!
Hahaha!Divers walikulana chini ya maji sembuse crown
Bibi katoa boko haswa πBibi anatufundisha nini wajukuu wake jamani π€£
Nashindwaje jirani yangu , wakati mie mpana ka gagulo la msomali..πJirani yatakushinda !! ππππ
Lakini RC, Kwenye gari, Parking, Ya baa maarufu.. Aaah apo kimaadili tu keshachoma..Haya yanaweza kuwa maelezo ya mtuhumiwa kwamba kutokana na ufinyu wa eneo alishindwa kutambua imeingia wapi..
Kesi inazidi kuwa nyepesi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]inawezekana mkikubaliana, ila siyo kilazima
sasa yeye anadai aliingilia mlango wa abiria, na akakaa kiti cha abiria ,na RC alikuwa kiti cha dereva. hadi aanze kuliwa nyuma maana yake alikubali na akageuka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa hadi watu wananishangaaa.Inawezekana, chamsingi asiwe na tako kubwa, ili akipenyua mtaro izame bila tabu.
Subannah wataallah!!
Nakazia πBibi katoa boko haswa π
Hatari sanaNakazia π
nachukua notes[emoji996][emoji996]Inawezekana, chamsingi asiwe na tako kubwa, ili akipenyua mtaro izame bila tabu.
Subannah wataallah!!