Namshangaa mleta uzi, show inapigwa hata kwenye kizibo cha chupa ya soda vzr kbs. Sema mkimaliza ndo mnaanza kushanga alivyowawezesha kutosha humo!Crown inapakia watu wazima watano bila kubanana. Sasa watu wawili watashindwa kubebana?
Mkuu hbari yakoUnazeeka vibaya we mzee!
Nzuri mkuuMkuu hbari yako
Ni clone hiyo !!!kaah, bibi ni wewe au simu imekuwa hucked
Hivi aliyelawitiwa ni me au ke?Kuna story ya ulawiti imenifanya niwaze sana hili suala linawezekanaje ndani ya crown .
Wazoefu wa mambo kazi kwenu
Mkuu naomba nikuulize Swali ?Nzuri mkuu
Sio yeyeBibi anatufundisha nini wajukuu wake jamani 🤣
Aisee hata mimi nilijiuliza nini kimetokea kumbe ni FaizaFixy na sio FaizaFoxy Moderator fanyeni kitu hii si sawa ni kama ile GENTAMYCINE na gentamycimeNi clone hiyo !!!
New member kaamua kumchafua ukhthy
Umeweza kupata 11m na nyingine ya service, unawaza gari used ya mkononi....em ongeza uruke JapanMkuu naomba nikuulize Swali ?
Crown hasa hizi used ya bongo ikinunuliwa kwa mtu na ikiwa ina hali nzuri kwa milioni 11 hivi kwenye service nikatupe vitu gani haswa na oil ipi nzuri ya kuifaa kwanzia engine oil, gearbox oil?
Japan kwa gari ninayoitaka siwezi kuipata mtumishiUmeweza kupata 11m na nyingine ya service, unawaza gari used ya mkononi....em ongeza uruke Japan
Hee mbona anafosi umaarufu huyo mtuSio yeye
Hivi JF inakubalika kutengeneza Maparody ?Inawezekana, chamsingi asiwe na tako kubwa, ili akipenyua mtaro izame bila tabu.
Subannah wataallah!!