Hivi kuna uwezekano wa kuchagua jinsia ya mtoto awe wa kiume au wa kike

Hivi kuna uwezekano wa kuchagua jinsia ya mtoto awe wa kiume au wa kike

Mbingo

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2014
Posts
411
Reaction score
230
Habari wana jamvi eeti kuna uwezekano wa kuchagua jinsia ya mtoto mana kuna rafiki yangu anawatoto wa kike pekee anatamani angepata wakiume hajui afanyeje ....?
 
Jambo hili halipo katika milki ya Mwanadamu ww ni nan mpaka ujipangie mtoto wa kiume/kike hii ni kazi ya Mola wako hao madaktari wenyewe mbona tukonao uku mitaani wengine hawana mtoto hata mmoja wengine wana watoto wa kike tu ina maana yeye hataki wakiume?
 
Habari wana jamvi eeti kuna uwezekano wa kuchagua jinsia ya mtoto mana kuna rafiki yangu anawatoto wa kike pekee anatamani angepata wakiume hajui afanyeje ....?
gender psychology. Soma hii kitu basi
 
Inawezekana kwa kiasi fulani tu kwahiyo si jambo la mia kwa mia.


1. Ukikutana muda mfupi kabla ya ovulation kwa mwanamke. Ovulation ni kitendo yai linatoka kwenye ovary.

Sperm za Y za mwanaume zinaogelea haraka lakini zinakufa haraka pia. Sasa kama ovulation itakuwa tayari uwezekano hapa ni mtoto wa kiume.

Kupata wakike ni tofauti ya hapo.

2. Vyakula.

Ukila vyakula vyenye protein, carbohydrates kwa wingi....na pia ukiwa unakula vizuri afya ipo probability hapo ni mtoto wa kiume.

3. Position wakati wa sex

Mkuu jaribu missionary position wakati wa majamboz probability utapata wa kiume [emoji4]
 
Mtu Km Hujui K2 Ni Bora Ucwe Kmbele Mbele Kukimbilia Kucomment, Kuwa Na Subira Mtoa Mada Kauliza Swali Zuri Ambalo Wakja Wenye Fani Yao Watalijb Kiufasaha. Co Kla K2 Mola Mola, Hili Co Jukwaa La Dini. Ila Namshaur Muuliza Swali Apeleke Jukwaa La Madaktari, Watamueleza Hata Hao Madaktar Wacopata Watoto Wanaowataka Tatizo Linakuaga Nn.
 
Jambo hili halipo katika milki ya Mwanadamu ww ni nan mpaka ujipangie mtoto wa kiume/kike hii ni kazi ya Mola wako hao madaktari wenyewe mbona tukonao uku mitaani wengine hawana mtoto hata mmoja wengine wana watoto wa kike tu ina maana yeye hataki wakiume?
Halipo kwa uelewa wako tu.. Ila kibayolojia ipo na inafahamika
 
Inawezekana kwa kiasi fulani tu kwahiyo si jambo la mia kwa mia.


1. Ukikutana muda mfupi kabla ya ovulation kwa mwanamke. Ovulation ni kitendo yai linatoka kwenye ovary.

Sperm za Y za mwanaume zinaogelea haraka lakini zinakufa haraka pia. Sasa kama ovulation itakuwa tayari uwezekano hapa ni mtoto wa kiume.

Kupata wakike ni tofauti ya hapo.

2. Vyakula.

Ukila vyakula vyenye protein, carbohydrates kwa wingi....na pia ukiwa unakula vizuri afya ipo probability hapo ni mtoto wa kiume.

3. Position wakati wa sex

Mkuu jaribu missionary position wakati wa majamboz probability utapata wa kiume [emoji4]
Hiyo ni hadithi ya kufikirika. Acheni kupotosha watu. Hakuna kitu km hicho na hakitatokea kamwe. Binadamu viumbe wa ajabu sana. HAKUNA HAKUNA
 
Hiyo ni hadithi ya kufikirika. Acheni kupotosha watu. Hakuna kitu km hicho na hakitatokea kamwe. Binadamu viumbe wa ajabu sana. HAKUNA HAKUNA
Wewe wacha kukurupuka kama unakimbizwa.

Nimetoa angalizo hapo kuwa hayo niliyoandika ni dhanio tu.

Sijafanya quotation ya andiko lolote la science na zaidi ya hapo limeweka angalizo mwanzo kabisa wa reply yangu.

Acha kukurupuka read btn the lines
 
Hiyo ni hadithi ya kufikirika. Acheni kupotosha watu. Hakuna kitu km hicho na hakitatokea kamwe. Binadamu viumbe wa ajabu sana. HAKUNA HAKUNA
jamani eeeh ujinga kitu kibaya sana...ogopa ata kidogo
 
Habari wana jamvi eeti kuna uwezekano wa kuchagua jinsia ya mtoto mana kuna rafiki yangu anawatoto wa kike pekee anatamani angepata wakiume hajui afanyeje ....?
inawezekana ni rahis sanaaa sex na mke wake siku ya 14 hesabu kuanzia siku ya kwanza ya kutoka damu mpaka ya 14 ukisex siku ya 14 ni uhakika mtoto wa kiume kwa sababu zifuatazo
yai la mwanamke linafika katika mji wa mimba siku ya 14 linakaa kwa saa 12au24na kuharibia baada ya muda kama siku saba mpaka 13 linaanza kutoka likiwa katika mfumo wa damu hapa utaona breed zipo tofauti na hazieleweki tareh huyu weekhuyu siku mbili huyu nne au tano inategemea yai limeharibika vipi

siku ya 14 ni mtoto wa kiume sababu mbegu dume zinakimbia kuliko mbegu jike ila mbegu jike zinaish mda mrefu wa siku tatu kuliiko za kiume zenye mbio ni siku mbili

kinachotokea sababu yai limeshuka mbegu dume linaziwai yai kuliko za jiko zitakazokuja nyuma polepole zikifika zitatunga mimba ya kiume


naitw dr appoh ni bingwa wa matatizo ya uzazi kwa wanaume gharama yangu ni elfu 20 tu kwa whats app nakupa formula ya matunda tu bila kemikali na unspona kabisaa 0712505049
 
Kikwetu kuna dawa wanakunywa ya bubadilisha uzazi ni ni uakika 100% waulize wazee huko kijijini kwako. Wengi wamefanikiwa.

Pia kuna ile kalenda ya kichina mwanamke anaifata kwa kufuata umri alionao na anatazama kwenye ile kalenda anaona ni miezi gani in probability kubwa ya kupata mtoto wa kiume. Ndugu yangu aliitumia. Ina maelezo mengi sema tu siko vizuri kichwani ningeleta maelezo ya kutosha. Kama kuna mtu anajua plz alete kalenda hiyo hapa hope ipo google.

Tofauti na hapo ajitahidi wakati wa kutaguta mtoto alale na mkewe exactly siku ya 14 after period. Pili afanye mapenzi asubuhi maana anakuwa na kuwa na nguvu kuna probability ya kupata wa kiume.

Note. Watoto ni baraka kuna wanaolia kupata hata kilema wamekosa. Ashukuru mungu watoto wa kike ni baraka wanajari familiya. Tho swala lake ni gumu naelewa hiyo hali.
 
Mungu kwanza,ayo mengine ni probability tu
 
Sperms zinazobeba Y travels fast than zinazobeba X,
So Fanya sexual intercourse on ovulation utapata a boy,

Ukifanya prior to ovulation (2days) za Y zitaenda fasta afu hazitakuta yai so zitakufa, za X zinajikongoja zinakutana na yai, babygirl huyoo
 
Wewe wacha kukurupuka kama unakimbizwa.

Nimetoa angalizo hapo kuwa hayo niliyoandika ni dhanio tu.

Sijafanya quotation ya andiko lolote la science na zaidi ya hapo limeweka angalizo mwanzo kabisa wa reply yangu.

Acha kukurupuka read btn the lines
U read the lines not btn them
 
U read the lines not btn them
Are you on drugs or something?

If I were your English teacher I would have spent my spare time to instruct you about idioms. You dumb.

Read between the lines simply mean "to find a hidden meaning in something written"
 
Back
Top Bottom