Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu usiwe km Marvin aliekusalitiMimi sina ndoa ila sichepuki hata kidogo , kuchepuka ni hulka tu.
nikweli bwana mkubwa, huku ndipo ninapo ishi na nimehamia rasmiUnavopenda mbususu!
Ndio yako inaleta wasi wasiNdiyo...
😂😂😂
Wapo, baadhi ya wale wenye ndoa za kipindi cha miezi 6 tu...[emoji2]Hivi katika ndoa kuna mwandoa ambaye hachepuki kabisa yani unakuta mume na mke wote wametulia tuli!View attachment 2241958View attachment 2241968
kijana wa watu nipo hapa ,nina 4 yrs na ndoa sijawahi hata kutia kidole papuchi ya nje.
Ila inahitaji moyo mkuu mnoo
asilimia 99.9 wanachepuka huo 0.1 n mm
wapo mbonaHakuna. Labda wawe wagonjwa