Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Naaam [emoji847]Kama naamini Yesu alikufa akafufuka, kwanini nisiamini kuwa mapenzi ya kweli yapo..?
Kuna watu tu/wa naenjoy hiyo pure love balaa...acha tuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naaam [emoji847]Kama naamini Yesu alikufa akafufuka, kwanini nisiamini kuwa mapenzi ya kweli yapo..?
Kuna watu tu/wa naenjoy hiyo pure love balaa...acha tuu.
Ni bahati tu kukutana na mume au mke wa kufanana naye mkawa na "love chemistry", pia kuondoa imani moyo ya kuamini kwamba mapenzi ya kweli hayapo wakati si kweli .Sijawahi kukutana nayo , siamini sana kama yapo!
naamini hii kitu 100%Licha ya kwamba marafiki zangu wengi Ni dungadunga na madungwadungwa,mm sijaathiriwa na hiyo tabia, bado nimetulia zangu nikiwa single nikitafuta anayeendana na Mimi; mwenye mapenzi ya kweli na uaminifu kwenye mahusiano.
Kwa bahati mbaya madem waaminifu kuwapata ni vigum, hata ukiwapata hawakuamini kirahisi.
Bado naamini ni swala la muda tu nitakuja kumpata. Amen.
Hivi kuna watu humu JF mna mindset kama yangu maana tamaa ya ngono na pesa imeharibu mahusiano ya siku hizi.
sio kweliKwa dunia ya sasa mapenzi ya kweli yanapatikana endapo mwanaume utakuwa na sifa zifuatazo
1.Una Kazi inayokuingizia kipato
2.Una biashara inayoeleweka
3.Unamiliki assets zinazoeleweka
4.Una hela ya kubadilisha mboga
Kama huna sifa moja wapo hapo juu mapenzi ya kweli utayapata mwanamke anajiuza ambae anatumia papuchi yake ipigwe na wanaume wengine kukulisha ww mwanaume wake na familia
Bill gate anavyote hivyo na ameachwa mkuu....hayo madudu hayana formula chief.Kwa dunia ya sasa mapenzi ya kweli yanapatikana endapo mwanaume utakuwa na sifa zifuatazo
1.Una Kazi inayokuingizia kipato
2.Una biashara inayoeleweka
3.Unamiliki assets zinazoeleweka
4.Una hela ya kubadilisha mboga
Kama huna sifa moja wapo hapo juu mapenzi ya kweli utayapata mwanamke anajiuza ambae anatumia papuchi yake ipigwe na wanaume wengine kukulisha ww mwanaume wake na familia
Bill gate anavyote hivyo na ameachwa mkuu....hayo madudu hayana formula chief.