Hivi kuna wanawake ambao huwa hawatoi sauti wakiwa faragha?

Hivi kuna wanawake ambao huwa hawatoi sauti wakiwa faragha?

Vyumba vya kupanga inamaana wanaishi chumba kimoja na watoto wao ambamo wametenganishwa na curtain. Sasa wataka watoto wao wasikie kelele? Alafu inamaana huwa unakaa kimya ukingoja waanze? Kweli kazi unayo.
 
Vyumba vya kupanga inamaana wanaishi chumba kimoja na watoto wao ambamo wametenganishwa na curtain. Sasa wataka watoto wao wasikie kelele? Alafu inamaana huwa unakaa kimya ukingoja waanze? Kweli kazi unayo.
Kwa hyo wanatumiaga mbinu gan il wasiskike ??? Taja il watu wajifunze
 
Duh ila kulalamika kama watoa roho nacho kipaji
Sio kulalamika tu, wengine wanalalamika huku wanafungulia bomba la mitusi, yaani anamtukana, baba yake, mama yake, babu yake mpaka marehemu bibi yake.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mimi hua nnapenda wale wa mitusi michafu michafu kabisa, yaani mitusi inavyokoleza nyege we acha tu.
 
Sio kulalamika tu, wengine wanalalamika huku wanafungulia bomba la mitusi, yaani anamtukana, baba yake, mama yake, babu yake mpaka marehemu bibi yake.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mimi hua nnapenda wale wa mitusi michafu michafu kabisa, yaani mitusi inavyokoleza nyege we acha tu.
Duh
 
Nikiwa naendesha gari ya msafara wa harusi Kama haipigi honi lazima nishuke tu sikatakagi ujinga mimi
 
Nipo kwenye nyumba ya kupanga, chumba jirani kuna mwanaume mwenzangu ana wife wake, lakini Cha ajabu sjawahi hata siku moja kusikia miguno wakiwa wanapeana utamu.

Sasa najiuliza maswali kama ifuatavyo:

1.Wanatumia staili gani inayopelekea nisisikie chochote?
2. Au kuna wanawake ambao huwa hawatoi sauti wakiwa faragha?

Karibuni wachangiaji,mi nipo maeneo ya Moshi-Kilimanjaro

wanawake ambao huwa hawatoi sauti wakiwa faragha ni wameru, wamasai, wamachame,wanyaturu, na wagogo​

 
KAMA MWANAMKE NI WA KUTOKA MKOA JIRANI NA TANGA BASI UTASUBIRI SANA
 
Back
Top Bottom