Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Likud are you a Konde Nigga?Hakunaga
Mwanamke lazima awe comfortable na wewe, awe willing, awe comfortable na mazingira na akiwa na feelings na wewe hio ni plus, then ndio hizo romance n.k, mwanamke hata umfanyie romance vp kama haja relax ana hofu hofu hakuelewi utakesha na romance zako...Nyie ni kuingiza na kutoa hata romance hakuna sio[emoji86]
Inategemea na mlaji kuna mwingine hapendi viungo vingi ye ni mchemsho, weka viungo vyote ujuavyo ataona kawaida...Nyama zinatofautiana ladha utamu na mapishi[emoji14]
Nilikuwa natafuta hii comment😆🤣🥰Wachaga ndio mwisho wa mambo yote[emoji3061]
Naiscreenshot, namtumia kama ilivyoSi umenifanyia makusudi nikose ujanja
Sema hilo kabila bana waendelee tu kutafuta hela, waachane na mambo ya malovee
Nadhani sio fungu lao
Atajitundika yule kijana wa watu🤣🤣🤣Naiscreenshot, namtumia kama ilivyo
Kumbe shemeji yanguMbona mmakonde Mie nna bachelor? Kuhusu suala la elimu Kwa mtoto wa kike huwezi kusema Wamakonde tu ndo hawafiki elimu ya juu, ni tatizo la makabila yote ya ukanda wa Pwani, hayajawahi kuweka msisitizo kumsomesha mtoto wa kike, ni ukue uolewe.
Vp unalakuongezea hapo kuhusu mchagaNilikuwa natafuta hii comment[emoji38][emoji1787][emoji3059]
Aisee[emoji23]Pwani ni matrilineal, huku hatung'ang'anii ndoa.....mtu akizingua unasepa, mtaji kiuno na unacho unamng'ania mwanaume Ili akuue?
Ushawahi kusikia mwanamke Pwani kakatwa masikio na mumewe?
Talaka hata Ulaya zipo juu[emoji1787]
Kumbe ww ni mmakua[emoji23]Hahaha me mmakua bwana sio mmakonde
Halafu nikapigwa mixer la nguvu
Nilitaka nishangae nisione comment yako hapa[emoji23]Top 5
1.makonde
2.makua
3.Yao
4.Ndigo
5.wanyakyusa....
Wachaga Ni watamu mpaka watamu tena😃😆😴📌Vp unalakuongezea hapo kuhusu mchaga
Hahah, hii comment nimecheka sanaKuna mtu alinichekesha eti siku hizi wana staili yao hiyo Inaitwa "Makamba anafoka"[emoji1787]
Hiyo ukipewa unakabidhi kila kitu... hadi Pswd ya MPESA.
😂😂Ukiachana na hayo yote ya ngono. Kuna fursa gani zingine za kiuchumi