I feel good
JF-Expert Member
- Oct 21, 2016
- 804
- 1,362
Mambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo
Huyo huyo ulie nae ndieBahati nzuri sina 'shoga' kufa kupona
😂😂😂😂nakaushaWewe ungefanyaje? 🤣
Eee 😂😂😂😂😂😂nakausha
Swali tuu.Kuna mtu umemfumania?
Vipi wakoachana na labda kuna watoto wanaowategemeaWifi/shemeji akichepuka naenda kusema kwa dada/kaka yangu bila kujiuliza mara nane nane
Ikitokea vice versa nakausha
Ukila hamsini zako na siku anaechepuka akaleta ukimwi kwenye Familia itakuaje?Muda mwingine ni kufanya hamsini zako tuu wanasema
Baya lisilokudhuru ni sawa na jema lisilo na faida
Ukifanya siri na anaesaliti akaleta magonjwa itakuaje?Ukisikia siri ni ya mtu mmoja ndio hizo sasa
Hapo ndugu yangu anaenda kujua moja kwa moja. Haina kulembaMimi nakuongeza Situation..
Wewe ni Daktari amekuja Shemeji yako kupima (Ambaye ni mchumba wa kaka yako au Tuseme mchumba wa mdogo wako) umemkuta na maambukizi ya Ukimwi..Bahati mbaya na nzuri Bado kama wiki moja wafunge ndoa kila hatua imeshakamilika ila tu bado hawajafanya chochote..
Kumbuka wewe umeshakula Viapo vya kutosha vya kutotoa siri ya Wagonjwa..
Utafanyaje Ili kaka ako akubali kumpima..
Kumbuka kaka yako anamuamini sana Yule demu kuliko.yoyote yaani vipimo ndo Vitamthibitishia
Namtonya bro kimtindo, hlo siwezi vumilia.... binafsi nliuziwa file ndo pona yanguMimi nakuongeza Situation..
Wewe ni Daktari amekuja Shemeji yako kupima (Ambaye ni mchumba wa kaka yako au Tuseme mchumba wa mdogo wako) umemkuta na maambukizi ya Ukimwi..Bahati mbaya na nzuri Bado kama wiki moja wafunge ndoa kila hatua imeshakamilika ila tu bado hawajafanya chochote..
Kumbuka wewe umeshakula Viapo vya kutosha vya kutotoa siri ya Wagonjwa..
Utafanyaje Ili kaka ako akubali kumpima..
Kumbuka kaka yako anamuamini sana Yule demu kuliko.yoyote yaani vipimo ndo Vitamthibitishia
Mzee unayoongea nimekutana nayo sana, wahudumu wa afya inabidi tuwe na uwezo mkubwa wa kutunza siri aisee sio poa, kuna jamaa yangu alitaka kuoa, akaniletea shemeji bhana nimfanyie vipimo vya radiology tuone kama mambo yapo sawa ili afunge nae ndoa, bhana si nikakuta mambo sio mambo uterine tube moja imeziba kabisa, ilikuwa ni changamoto maana jamaa ananiamini sana nikisema mambo yako fresh anaoa na nikisema vinginevyo yule shemeji ambaye tunajuana pia ataniona mi mbaya.Mimi nakuongeza Situation..
Wewe ni Daktari amekuja Shemeji yako kupima (Ambaye ni mchumba wa kaka yako au Tuseme mchumba wa mdogo wako) umemkuta na maambukizi ya Ukimwi..Bahati mbaya na nzuri Bado kama wiki moja wafunge ndoa kila hatua imeshakamilika ila tu bado hawajafanya chochote..
Kumbuka wewe umeshakula Viapo vya kutosha vya kutotoa siri ya Wagonjwa..
Utafanyaje Ili kaka ako akubali kumpima..
Kumbuka kaka yako anamuamini sana Yule demu kuliko.yoyote yaani vipimo ndo Vitamthibitishia
Mimi nina LISIRI linanitesa mpaka sasa, nilishuhudia tukio lamimi nilijua ya mzazi mmoja, nimebaki nayo miaka 7 sasa na nitakufa nayo
kama siri italeta madhara ikijulikana, unaimeza
Sandoa zinatisha kwa kweli
Mimi kuna LISIRI linanitesa mpaka sasa, nilishuhudia tukio la kufedhehesha mno tena sana, miaka 20 iliyopita, kipindi hicho nipo shule ya msingi. Mtanisamehe sitaweza kutaja hilo tukio maana linafedhehesha mno kwa maadili yetu.mimi nilijua ya mzazi mmoja, nimebaki nayo miaka 7 sasa na nitakufa nayo
kama siri italeta madhara ikijulikana, unaimeza
ndoa zinatisha kwa kweli
Majibu hupelekwa kwa mchungaji kisha anavunja ndoa, hakuna cha kuogopa.Mimi nakuongeza Situation..
Wewe ni Daktari amekuja Shemeji yako kupima (Ambaye ni mchumba wa kaka yako au Tuseme mchumba wa mdogo wako) umemkuta na maambukizi ya Ukimwi..Bahati mbaya na nzuri Bado kama wiki moja wafunge ndoa kila hatua imeshakamilika ila tu bado hawajafanya chochote..
Kumbuka wewe umeshakula Viapo vya kutosha vya kutotoa siri ya Wagonjwa..
Utafanyaje Ili kaka ako akubali kumpima..
Kumbuka kaka yako anamuamini sana Yule demu kuliko.yoyote yaani vipimo ndo Vitamthibitishia
Mkuu Ingekuwa Nyepesi kiasi hicho.kutoa taarifa za Mgonjwa ingekuwa simple sana..Hapo ndugu yangu anaenda kujua moja kwa moja. Haina kulemba
Unasahau kuwa wanaojua siri hiyo ni wewe uliyempima na ulimpima na kujua siri hiyo kipindi ukiwa kwenye majukumu kama daktari na sio kama Shemeji yake..Namtonya bro kimtindo, hlo siwezi vumilia.... binafsi nliuziwa file ndo pona yangu
Majibu unapeleka kwa mchungaji vipi na nimekuambia Jamaa anamuamini sana Mchumba wake na aliona hakuna haja ya kupima...Majibu hupelekwa kwa mchungaji kisha anavunja ndoa, hakuna cha kuogopa.
Mwambie Wifi yako na msainishe mahali kwamba ikijirudia namwambia kaka,Imeisha hiyo nakulaje makombo mimiWifi/shemeji akichepuka naenda kusema kwa dada/kaka yangu bila kujiuliza mara nane nane
Ikitokea vice versa nakausha
Apo mzee lazima uchukue consent tu (unamshauri kama atatama majibu uyashee na Jamaa yake) akikubali majibu kushea poa hapo inakuwa peace akigoma ndugu uthithubutu kutoa chochote..Mzee unayoongea nimekutana nayo sana, wahudumu wa afya inabidi tuwe na uwezo mkubwa wa kutunza siri aisee sio poa, kuna jamaa yangu alitaka kuoa, akaniletea shemeji bhana nimfanyie vipimo vya radiology tuone kama mambo yapo sawa ili afunge nae ndoa, bhana si nikakuta mambo sio mambo uterine tube moja imeziba kabisa, ilikuwa ni changamoto maana jamaa ananiamini sana nikisema mambo yako fresh anaoa na nikisema vinginevyo yule shemeji ambaye tunajuana pia ataniona mi mbaya.
Kiswahili kigumu sana, nmetoka kapaWifi/shemeji akichepuka naenda kusema kwa dada/kaka yangu bila kujiuliza mara nane nane
Ikitokea vice versa nakausha