Hivi kuna watu wanaojua huwa inafanywaje?

Unasahau kuwa wanaojua siri hiyo ni wewe uliyempima na ulimpima na kujua siri hiyo kipindi ukiwa kwenye majukumu kama daktari na sio kama Shemeji yake..
Mzee kaseme ukale mvua za kutosha
Uzuri majibu yanakua Siri ya pale chumbani tu ila baada ya hapo itajulikana ndani ya mda mfupi sana hata Dr asiposema ila kwa case kama hiyo bro anapewa signal mapema sana
 
Uzuri majibu yanakua Siri ya pale chumbani tu ila baada ya hapo itajulikana ndani ya mda mfupi sana hata Dr asiposema ila kwa case kama hiyo bro anapewa signal mapema sana
Shida na changamoto Bro wako anamuamini sana Mchumba wake kuliko.chochote na huwa hakubali maneno yoyote anayoletewa
 
Wachungaji huwaagiza wanaotaka kufunga ndoa kupima na kuleta majibu, so wachumba ndo wanapeleka, mchungaji akiona magojwa anagomesha kufungisha ndoa. Pia kuvujisha siri unaweza ukavujisha indirect, mfano ukamahauri ndugu Yako wakapime aache kuamini kwa macho.
 
Demu hajaagizwa kaenda kupima mwenyewe..
Najua kuwa wachungaji huagiza watu kupima lakini kumbuka Wanandoa wakigoma majibu yao yasiende kwa mchungaji hawafungwi na sheria yoyote ni uamuzi wao
 
Haambiwi mtu na huo UKIMWI wapeane tu.Ukifika wakati wa kutumia dawa nitawasisitiza wasiache.
 
Ungekuw Daktari, basi kesi kama hiii Rahisi. Kuna misingi ya professionalism.
 
Ungekuw Daktari, basi kesi kama hiii Rahisi. Kuna misingi ya professionalism.
Ni Daktari na Misingi yote naifahamu na ndo maana nimemwambia mtoa mada Situation kama hiyo..

Inabidi ustay kwenye Proffesional..
Labda umshauri Mdogo au kaka yako wakapime tu..
Na hakuna namna nyingine Accoding to HIV confidential Act ya mwaka 2008 na HIV and ARV act ya mwaka 2010..
Na Kiapo Cha Utunzani wa Siri kwa Watoa Huduma wa Afya Kanuni ya HIV &ARV mwaka 2010..

Vigumu sana kumwambia Kuwa shemeji kaathirika ila unaweza ukamshawishi kwa namna nyingine wakapime bila kumgusia chochote kilichotokea
 
Muda mwingine ni kufanya hamsini zako tuu wanasema


Baya lisilokudhuru ni sawa na jema lisilo na faida
[emoji23][emoji23][emoji23] Elimu isiyo na faida ni sawa na ujinga usio na hasara.
 
Hiyo ni family issue,ntamsisitiza kuwa wapime afya kabla ya ndoa,akikataa ntamwambia ukweli, siwezi kuacha ndugu yangu aangamie kisa misingi ya kazi.
 
Kujua nn cha kuongea na wakati wa kuongea ni hekima tosha.

Kila mmoja kaa nae kivyake umueleze ukweli na umuonye lkn isolve kwa namna ambayo haitavunja mahusiano, yan confrotation ya mwenye makos kwa ukali na onyo juu like u own them. Unamfuata na mwenza wake unahua tatizo lilipo then mambo yatulie ila hutakiw kuwaambili kila mmoja ukweli wakiw wote deal with perpendicular kila mtu kwa wakat wake uwanyooshe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…