Yohimbe bark
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 2,160
- 5,728
Nimewaza tuu eti Kuna watu mpo humu mnaisikia Dar redioni tuu?
How come? Yani una miaka 30 plus dar hujawahi kufika??
How come? Yani una miaka 30 plus dar hujawahi kufika??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati wewe unaona kufika kwako Dar umemaliza, vile vile kuna mwamba anakushangaa umefikaje miaka 40 hujawahi Fika ama SA ama UK, ama US, china au Dubai. mNimewaza tuu eti Kuna watu mpo humu mnaisikia dar redioni tuu? How come? Yani una miaka 30 plus dar hujawahi kufika??
Mkuu huko UK process nyingi mambo ya visa and so on ila hapa bongo ni nauli tuu.Wakati wewe unaona kufika kwako Dar umemaliza, vile vile kuna mwamba anakushangaa umefikaje miaka 40 hujawahi Fika ama SA ama UK, ama US, china au Dubai. m
Maisha ni fumbo mkuu kirefu kwako ni kifupi kwa mwenzio.
Kuna watu mpaka wanakufa hawajawahi fika Makao makuu ya Mkoa anaoishi. Dunia ndivyo ilivyo.
NNimeandika nikafuta.Nimewaza tuu eti Kuna watu mpo humu mnaisikia dar redioni tuu? How come? Yani una miaka 30 plus dar hujawahi kufika??
Dar kuna ishu gani tuje?Mkuu huko UK process nyingi mambo ya visa and so on ila hapa bongo ni nauli tuu.
Wewe baada ya kufika pengine na kuishi imetuzidi nini sisi ambao hatujafika na tunaishi Tandahimba na Simiyu?Nimewaza tuu eti Kuna watu mpo humu mnaisikia dar redioni tuu? How come? Yani una miaka 30 plus dar hujawahi kufika??
Kwanini mkuuNNimeandika nikafuta.
Mishe unazikuta hukoAf inategemea unaenda dar kwa ishu gani,huwez kwenda tu bila mishe mzee
Tatizo mmechange maana ya uzi mkuu sijadhihaki wala kudharau mtu, mimi mwenyewe umri huu sijapanda ndege najishangaaUsiwe hivyo, sifa kuu ya ustaarabu na matumizi mazuri ya utashi ni kuwa mnyenyekevu.
Simiyu naijua vizuri mkuu nimeivuruga sana na mpaka Sasa nipo huku.Wewe baada ya kufika pengine na kuishi imetuzidi nini sisi ambao hatujafika na tunaishi Tandahimba na Simiyu?
Wewe umewahi kufika kwetu?
Utoto
Mwenyewe nimepakimbia Sema nitarudiDar kuna ishu gani tuje?
Ushamba umekuzidi kimo.Nimewaza tuu eti Kuna watu mpo humu mnaisikia dar redioni tuu? How come? Yani una miaka 30 plus dar hujawahi kufika??
Kwa kero za hilo jiji waliopo mikoani wanaishi poa
Mmoja wapo ni mleta mada@🤣🤣