Yohimbe bark
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 2,160
- 5,728
- Thread starter
- #21
Kabisa mkuu, ila sijadharau mtu.Ushamba umekuzidi kimo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuu, ila sijadharau mtu.Ushamba umekuzidi kimo.
Hahah kabisa mkuu wewe ndio umefanya nianzishe huu uzi 🤣🤣Kwaio mkuu umesoma comment yangu kule na kuamua kunianzishia uzi🤣 City Owl DR HAYA LAND
Sasa wewe unatulazimisha tuje Dar kufanya nini? Wewe unaijua Kilyamatundu?Simiyu naijua vizuri mkuu nimeivuruga sana na mpaka Sasa nipo huku.
Daaah umeniweza😂😂😂Hahah kabisa mkuu wewe ndio umefanya nianzishe huu uzi 🤣🤣
Upo sahih mkuu.Kabisa mkuu, ila sijadharau mtu.
Huko nije kufanya nini mkuu? Kufata uchawi???Sasa wewe unatulazimisha tuje Dar kufanya nini? Wewe unaijua Kilyamatundu?
Sio kwa ubaya lakini mkuu.Daaah umeniweza😂😂😂
Na wewe unataka tuje Dar kufanya nini? Kuishi kwenye mazingira yanayonuka na slums?Huko nije kufanya nini mkuu? Kufata uchawi???
Ww ushawai kufika ukerewe? Ushawai kupakia mashua? Inakuaje mtu una miaka 30+ hujui mashua wala hujawai ishi kisiwani?Nimewaza tuu eti Kuna watu mpo humu mnaisikia Dar redioni tuu?
How come? Yani una miaka 30 plus dar hujawahi kufika??
Nimeelewa mbona,sina baya mieSio kwa ubaya lakini mkuu.
Wewe ushafikaNdio nipo, nmefika Zanzibar dar nilipita tu, kwani lazima kufika dar? Tena nilipita tu kama navopita manyara nikienda arusha
Ukerewe, maisome, izumacheli, goziba, gana, kimoyomoyo, kome ilugwa hivyo visiwa vyote nishafika mkuu.Ww ushawai kufika ukerewe? Ushawai kupakia mashuka? Inakuaje mtu una miaka 30+ hujui mashua wala hujawai ishi kisiwani?
🤣Unashenyentwa nimeishi dar miaka 5 nasikuwa na maisha😂Ila nimerudi mkoani angalau kula na Kulala afadhali "Ebu tupishe mzazi"Nimewaza tuu eti Kuna watu mpo humu mnaisikia Dar redioni tuu?
How come? Yani una miaka 30 plus dar hujawahi kufika??
Hapana mrembo.Ni dhambi???
Wakishua sio? Wakazi wengi wa hilo jiji wamenielewaKwa Sisi tunaoishi Obey hizô Kero hatuzijui.
Inapita Miezi na Miezi hatujafika hata Ubungo. Tunakula Raha tuu, Masaki, Mikocheni, Upanga, na Posta.