Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaHujafika
Kabisa bibiWengine wapo Dar lakini hawajafika jijini Dar.
Mimi ifakara tu na sijakanyagaNimewaza tuu eti Kuna watu mpo humu mnaisikia Dar redioni tuu?
How come? Yani una miaka 30 plus dar hujawahi kufika??
Kijiji gani mkuu?Mkuu mbona we kwa umri wako haujafika kijijini kwetu
Yani upo morogoro ila dar hujafika?Mimi ifakara tu na sijakanyaga
Kwa hiyo ukiwa na nauli tu, unaamua kwenda zako Dar? Daa! Bado safari ni ndefu kufika nchi ya ahadiMkuu huko UK process nyingi mambo ya visa and so on ila hapa bongo ni nauli tuu.
Kuna nini huko Dar?, huwenda tukavutiwa kufika.Nimewaza tuu eti Kuna watu mpo humu mnaisikia Dar redioni tuu?
How come? Yani una miaka 30 plus dar hujawahi kufika??
Muulize kashawahi fika Gambosi au Lagangabilili au kule Ikungulyabashasi au anapasikia Nkololo?Wewe baada ya kufika pengine na kuishi imetuzidi nini sisi ambao hatujafika na tunaishi Tandahimba na Simiyu?
Wewe umewahi kufika kwetu?
Utoto
😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🏾🙌🏾🙌🏾🏃🏾♀️🏃🏾♀️ AsanteNatokea kijiji cha katombasongwe huku narudi zangu daslamu.
Dar ni nini? Yaani kufika Dar unaona umemaliza!!!! 🙆🙆🙆Nimewaza tuu eti Kuna watu mpo humu mnaisikia Dar redioni tuu?
How come? Yani una miaka 30 plus dar hujawahi kufika??
Wanaofurahia hilo jiji ni wachache mno tena wale wanaotembeaga na ving'ora, wafanyabiashara wakubwa,, tuliobaki kero zipo palepale,Wakishua ukimwambia Dsm michesho atashangaa Sana.
Dsm ukiwa na Pesa ni Pepo ndogo, ukiwa Huna NI kuzimu.
Mimi bado naparangana
You will be suprised, kuna wazaliwa wa dodoma hata dodoma mjini hawajawahi kanyaga, ni zile wilaya choka mbayaNimewaza tuu eti Kuna watu mpo humu mnaisikia Dar redioni tuu?
How come? Yani una miaka 30 plus dar hujawahi kufika??
Dah huitaji visa wala passport wala laki tano,kama hujafika Dar wewe ni mtu wa kustaajabisha sanaWakati wewe unaona kufika kwako Dar umemaliza, vile vile kuna mwamba anakushangaa umefikaje miaka 40 hujawahi Fika ama SA ama UK, ama US, china au Dubai. m
Maisha ni fumbo mkuu kirefu kwako ni kifupi kwa mwenzio.
Kuna watu mpaka wanakufa hawajawahi fika Makao makuu ya Mkoa anaoishi. Dunia ndivyo ilivyo.
Sio kweli,ukifeli juenjoy maisha Dar ujue hujatumia brain yako vizuri,sina hela nyingi kihivyo ila kwa Tanzania Dar ni the best to live ni peponi kabisa kwanguWanaofurahia hilo jiji ni wachache mno tena wale wanaotembeaga na ving'ora, wafanyabiashara wakubwa,, tuliobaki kero zipo palepale,
Foleni, msongamano, harufu, joto, gharama kubwa za maisha ya kila siku, huduma mbovu za kijamii, isipokugusa kero 1 au 2 kati ya hizo basi utaenjoy sasa kuna wale hizo kero zote zinatuhusu na tuko wengi
Njoo mchome mahindi barabarani kama wajomba zenuDar kuna ishu gani tuje?
Upo kwenye list ya wale wenye ving'ora hongera😂😂Sio kweli,ukifeli juenjoy maisha Dar ujue hujatumia brain yako vizuri,sina hela nyingi kihivyo ila kwa Tanzania Dar ni the best to live ni peponi kabisa kwangu