City Owl
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 3,475
- 7,571
Huyu mwamba karuka na nafasi..Kwaio mkuu umesoma comment yangu kule na kuamua kunianzishia uzi𤣠City Owl DR HAYA LAND
Bro has to chill.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mwamba karuka na nafasi..Kwaio mkuu umesoma comment yangu kule na kuamua kunianzishia uzi𤣠City Owl DR HAYA LAND
Hayo yanavumilikaKwamba ukiwa nako unapaa nako ili usikae kwenye foleni eti?? Kwanza mida ya asubuhi na jioni ukiwa na gari unachoka mara mbili ya yule aliye kwenye mwendokasi
Kwamba ukiwa nako unapaa nako ili usikae kwenye foleni eti?? Kwanza mida ya asubuhi na jioni ukiwa na gari unachoka mara mbili ya yule aliye kwenye mwendokasi
Mkuu ukipewa ghorofa hapa simiyu š¤£Mimi naishi one bedroom apartment ila hata unipe ghorofa mkoani siendi
SiendiMkuu ukipewa ghorofa hapa simiyu š¤£
Jirani na mwenyekiti wa kijiji mkuuš¤£Hahahaa maeneo gani mkuu
Dar ni rahis kuingia Ila sio kutokaMkuu ukipewa ghorofa hapa simiyu š¤£
Sawa tajiriMimi naishi one bedroom apartment ila hata unipe ghorofa mkoani siendi
Ndio ndio matajiri wa jf,Mbona hayo mambo kawaida mkuu sehemu yenye riziki na pesa haiwezi kukosa changamoto
Hata ukikaa new York city uta face challenges mbali mbali.
Mbona tupo wengi tu?Nimewaza tuu eti Kuna watu mpo humu mnaisikia Dar redioni tuu?
How come? Yani una miaka 30 plus dar hujawahi kufika??
Ndio ndio matajiri wa jf,
Ingawa hili siyo swala la muungano, Ila ni kero mojawapo. Hebu kamati ikalitazame.Nimewaza tuu eti Kuna watu mpo humu mnaisikia Dar redioni tuu?
How come? Yani una miaka 30 plus dar hujawahi kufika??
Hapana wa mali wa roho ni mimiššššš matajiri wa ROHO
Kabisa mkuu.Ingawa hili siyo swala la muungano, Ila ni kero mojawapo. Hebu kamati ikalitazame.
So kipindi unaenda London ndege ulipandia huko kwenu tandahimba?Mbona tupo wengi tu?
Hatujafika Dar ila New York ni kama Sebuleni, London ni Dining na Amsterdam ni jikoni
Paris ndipo tunapolala
Hivi Tandale ipo Dar Es Salaam?
Kabisa mkuu narudi.Dar ni rahis kuingia Ila sio kutoka
Unawaza mwisho wa pua yako ilipoangalia.Una changamoto.Mkuu huko UK process nyingi mambo ya visa and so on ila hapa bongo ni nauli tuu.
š¤£š¤£š¤£Unawaza mwisho wa pua yako ilipoangalia.Una changamoto.
Hapana, sikupanda hata ndege...nilienda na ngamia mpaka ufukweni kisha nikapanda ngalawa, ilikuwa miaka ya 1948 JanuarySo kipindi unaenda London ndege ulipandia huko kwenu tandahimba?