Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Nakujenga ubadilishe mitizamo hasi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakujenga ubadilishe mitizamo hasi.
Kuna nini?Nimewaza tuu eti Kuna watu mpo humu mnaisikia Dar redioni tuu?
How come? Yani una miaka 30 plus dar hujawahi kufika??
Upo bariadi nini mkuu?Nakujenga ubadilishe mitizamo hasi.
Huko ndio TzKuna nini?
Hapana.Nipo Namtumbo hapa.Upo bariadi nini mkuu?
Wasalimie wote huko mkuu.H
Hapana.Nipo Namtumbo hapa.
Mkuu,Nimewaza tuu eti Kuna watu mpo humu mnaisikia Dar redioni tuu?
How come? Yani una miaka 30 plus dar hujawahi kufika??
Huko nako hakuna tofauti na ubungo, wote sawa tuu na barabara zenu za tope na uchafu, bongo yote ni slum, ukiangalia kwa juu ukiwa kwenye ndege ni mabati ya kutu na nyumba zilizojengwa bila plan , ni kichaka kitupuKwa Sisi tunaoishi Obey hizô Kero hatuzijui.
Inapita Miezi na Miezi hatujafika hata Ubungo. Tunakula Raha tuu, Masaki, Mikocheni, Upanga, na Posta.
Poapoa.Kesho tunaenda kuandaa mashamba pale Matimila.Karibu.Wasalimie wote huko mkuu.
Kufika dar kunaweza kuharibu maisha ya mtu kivipi mkuu?Mkuu,
Ushawahi kufikiri kuwa kuna watu kwa mfumo wao wa maisha walivyojipangia hawataki kabisa kufika Dar, na kufika Dar kutawaharibia kabisa maisha wanayoyataka wao? Na wamefanya hivyo kwa maamuzi yao binafsi, si kwa kushindwa kufika Dar?
Jirani na mwenyekiti wa kijiji mkuu
Mi sijawahi Kuna nini huko darNimewaza tuu eti Kuna watu mpo humu mnaisikia Dar redioni tuu?
How come? Yani una miaka 30 plus dar hujawahi kufika??
Nimewaza tuu eti Kuna watu mpo humu mnaisikia Dar redioni tuu?
How come? Yani una miaka 30 plus dar hujawahi kufika?
Nitafutie Shamba la kukodi mkuu.Poapoa.Kesho tunaenda kuandaa mashamba pale Matimila.Karibu.
Pole sana.Mi sijawahi Kuna nini huko dar
Utaweza kulima kwa mbwembwe huku unaringa?Nitafutie Shamba la kukodi mkuu.
🤣🤣Umenikumbusha USHAMBA WA KIZAMANI SANA ulionao mtoa mada
Kuna mijongamijinga huwa imekariri kwamba Dar ndiyo Tanzania.Sijawahi fika dar lakini nimefika us, finland na south.
Nitaweka wafanyakaz mkuuUtaweza kulima kwa mbwembwe huku unaringa?