Hivi kuna watu wapo humu na hawajawahi kabisa kufika jijini Dar es Salaam?

Hivi kuna watu wapo humu na hawajawahi kabisa kufika jijini Dar es Salaam?

Wakati wewe unaona kufika kwako Dar umemaliza, vile vile kuna mwamba anakushangaa umefikaje miaka 40 hujawahi Fika ama SA ama UK, ama US, china au Dubai. m
Maisha ni fumbo mkuu kirefu kwako ni kifupi kwa mwenzio.
Kuna watu mpaka wanakufa hawajawahi fika Makao makuu ya Mkoa anaoishi. Dunia ndivyo ilivyo.
Unasema hivyo? Mwingine hata lami haijui na ana miaka 70+ .
 
Wanaofurahia hilo jiji ni wachache mno tena wale wanaotembeaga na ving'ora, wafanyabiashara wakubwa,, tuliobaki kero zipo palepale,

Foleni, msongamano, harufu, joto, gharama kubwa za maisha ya kila siku, huduma mbovu za kijamii, isipokugusa kero 1 au 2 kati ya hizo basi utaenjoy sasa kuna wale hizo kero zote zinatuhusu na tuko wengi
Mkuu huna hata ka ist used kutoka japani mkuu🤣
 
Ila watu wa dasalama bhana, watakuja kusema ndio umeingia juzi dar kwa ajili ya kurepoti chuo.
 
Back
Top Bottom