Kwa sababu asije kuandika ukamsababishia ban. Maana, ..........!!!!Kwanini mkuu
Kwa umri huo ndiyo maana unaadika Uzi ambao hata sasa unakusuta mwenyewe kuwa ni dhihaka!!Tatizo mmechange maana ya uzi mkuu sijadhihaki wala kudharau mtu, mimi mwenyewe umri huu sijapanda ndege najishangaa