Hivi kunyonyana sehemu za siri kumetokeaje tokeaje? Kuna historia gani?

Hivi kunyonyana sehemu za siri kumetokeaje tokeaje? Kuna historia gani?

Wenye ujuzi mnisaidie kuelewa hii kitu jamani. Ni nini historia yake? Ilikuaje yaani? Mbona imekuwa shida hivi?

Na joto lote hili watu wananyonyana tu. Kuna maumbile tofauti tofauti yenye tabia tofauti; watu wanamung'unya chumvi tu.

Pamoja na madaktari kusema kuwa maumbile ya kike yana kawaida ya kujisafisha yenyewe, yaani kuna liquid huwa, karibu muda wote, inatoka ndani kuja nje kupitia uke; bado watu wanalamba na kufakamia chumvi tu kama wamerogwa.

Pamoja na wale waliopata bahati mbaya ya kutoa harufu mbaya ukeni mwao kujifukizia manukato mengi yenye harufu kali sana kwa lengo la kuficha hiyo harufu; bado watu wanafyodoa chumvi tu kwa ulimi bila kujali madhara ya manukato haya hatari.

Nini chanzo na nani muanzilishi?
Mbna kawaida
 
Na anavyokukubali sasa [emoji23][emoji23][emoji23]
Ungemjua ujinga anaonijazaga ungecheka sana!!! Udugu ake Antonnia hivi Kantri analijua hilo??
Udugu Mwambie mi najizima data tu humu huwezi kuta kwenye sms naandika hata ko!🀠

Yeah just for my uduguuu muheshimiwa DC namuheshimu sana sema ana fujo fulani hivi uduguuu ndio unamuwezea πŸ€ πŸ™Œ!!
 
Udugu Mwambie mi najizima data tu humu huwezi kuta kwenye sms naandika hata ko!🀠

Yeah just for my uduguuu muheshimiwa DC namuheshimu sana sema ana fujo fulani hivi uduguuu ndio unamuwezea πŸ€ πŸ™Œ!!
Udugu nakunywa me, kulewa unalewa wewe 🀣🀣🀣
Sasa DC kafikaje hapo?!! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Me ndo kiboko yake hilo liko wazi mbona
 
Back
Top Bottom