Hivi kunyonyana sehemu za siri kumetokeaje tokeaje? Kuna historia gani?

Hivi kunyonyana sehemu za siri kumetokeaje tokeaje? Kuna historia gani?

Wenye ujuzi mnisaidie kuelewa hii kitu jamani. Ni nini historia yake? Ilikuaje yaani? Mbona imekuwa shida hivi?

Na joto lote hili watu wananyonyana tu. Kuna maumbile tofauti tofauti yenye tabia tofauti; watu wanamung'unya chumvi tu.

Pamoja na madaktari kusema kuwa maumbile ya kike yana kawaida ya kujisafisha yenyewe, yaani kuna liquid huwa, karibu muda wote, inatoka ndani kuja nje kupitia uke; bado watu wanalamba na kufakamia chumvi tu kama wamerogwa.

Pamoja na wale waliopata bahati mbaya ya kutoa harufu mbaya ukeni mwao kujifukizia manukato mengi yenye harufu kali sana kwa lengo la kuficha hiyo harufu; bado watu wanafyodoa chumvi tu kwa ulimi bila kujali madhara ya manukato haya hatari.

Nini chanzo na nani muanzilishi?
Siyo kwenye hili tu wanaopenda kufuata mkumbo ni wengi hata kwenye mambo yenye masilahi kitaifa huahirisha kufikiri kwa nafsi ili mradi wafurahishe nafsi za wengine
 
Utamlinda vipi dhidi ya afya kinywa(saratani ya koo)?

Naomba majibu nifike chaap kuleta posa.😅
🤣Mi sijawahi ona mtu mwenye hizo shida kupitia hii issue!
Ila Huwa nasikia tu!
Ht niliowahi kuhusiana nao way back ,wazima mpk Leo hakuna mwenye shida yyt ya Koo!🤷

Km watu hamchepuki,wasafi sio shida!
Mi najua magonjwa yanasababishwa na kusex na watu kibao,unachukua magonjwa Kwa watu kibao ,huku, kule lzm uumwe....🙌na ni kinyaa sn
 
🤣Mi sijawahi ona mtu mwenye hizo shida kupitia hii issue!
Ila Huwa nasikia tu!
Ht niliowahi kuhusiana nao way back ,wazima mpk Leo hakuna mwenye shida yyt ya Koo!🤷

Km watu hamchepuki,wasafi sio shida!
Mi najua magonjwa yanasababishwa na kusex na watu kibao,unachukua magonjwa Kwa watu kibao ,huku, kule lzm uumwe....🙌na ni kinyaa sn
Niko njiani kuelekea ukweni
 
Back
Top Bottom