Hivi kutakuja kutokea wasanii kama Angela Chibalonza na Fanuel Sedekia?

Hivi kutakuja kutokea wasanii kama Angela Chibalonza na Fanuel Sedekia?

Angela alikuwa mkongo anaeishi Kenya. Kuna baadhi ya nyimbo zake aliimba kilingala mf jubilee.

Alikuwa na watoto tena alifariki na kuacha mtoto mchanga. Mume wake nadhali alikuwa mchungaji kuna baadhi ya nyimbo alimshirikisha. Huyu dada alikuwa na talanta kutoka kwa Mungu. R.I.P

Fanuel Sedekia alikuwa fundi R.I.P
Mumewe yupo Dar na anakanisa pale kinondoni studio
Nadhani kanisa lake linaitwa ebenezar na ameshaoa mke mwingine
 
Angela Chibalonza niMkongo alieishi na kufia Kenya.
Emachichi ni Mkongo alieishi na kufia Kenya,.
Emmanuel Ushindi ni Mkongo anayeishi Kenya.
Nadhani Christina Shusho naye ana asili ya Kongo, pia Bahati Bukuku(Bouchouchou) nadhani(sina uhakika).
Mmmh Bahati Bukuku mtu wa Mbeya
Shusho pia mtanzania
 
Kuna Sarah K,nadhani ni mkenya
Ameimba usiyeshindwa
Mnyunyizi
Hakuna silaha na nyinginezo,ni moto
 
Kuna Sarah K,nadhani ni mkenya
Ameimba usiyeshindwa
Mnyunyizi
Hakuna silaha na nyinginezo,ni moto
Nilitaka kumtaja. Mama fulani anasauti nzito kama kina mama wa mbeya rejea nyimbo kama Abneri na waraka wa amani zilizo imbwa na bahati bukuku

Anawimbo wake unasema kwani ni jambo lipi hiloo asilo liweza
 
Ndiyo...
Mau hunyauka, story huisha na kumbukumbu husahaulika, sisi sote tutapita...




Cc: mahondaw
 
Hawa hawakuwa wasanii! Walikuwa waabudu halisi!
Kina tofauti kubwa!
Halafu wqpo wengi tu hata kwenye hiki kizazi
 
  • Thanks
Reactions: ABJ
Inaoneka wacongoman kwenye Sanaa ya mziki wako juu sana hapa Africa
 
Angela Chibalonza niMkongo alieishi na kufia Kenya.
Emachichi ni Mkongo alieishi na kufia Kenya,.
Emmanuel Ushindi ni Mkongo anayeishi Kenya.

Nadhani Christina Shusho naye ana asili ya Kongo, pia Bahati Bukuku(Bouchouchou) nadhani(sina uhakika).
Hiyo michambo anayotoa kwa aliyekuwa mume wake basi atakuwa ni Mcongo.

Wacongo wanaongea si wa kike wala wa kiume


Angalia hakina Molinga, Tshimbimbi, Mayele nk.
 
Wakuu,

Sasa hivi nimetulia ghetto nikipata kusikiliza gospel za hao watu wawili ,fanuel sedekia na Angela muriri chibalonza

Nimegundua hao watu walikuwa mbele ya muda.
Itachukua muda sana kuziba mapengo yao.

Je, kuna waliofanikiwa kuziba mapengo yao mpk sasa?
Chibalonza alikuwa kiboko. Mpaka leo napenda nyimbo zake. Mungu ampe pumziko la milele!
 
Angela Chibalonza dunia ingekuwa yangu ningempa nusu yake. Nampenda Sana.
Dr.Sarah K yeye naipenda album yake ya kwanza.
Rose Muhando napenda nyimbo zake za kuabudu na kuhuzunisha tu.
 
Back
Top Bottom