kevin strootman
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 1,114
- 1,872
Nipe connection sasaamini nakuambia bangi kila sehemu inaptkana hata zanzbar ipo sasa we unaongelea toa ngoma apo masadari kibao mwanngu
Inachimbua sana makabuliKwa nini unataka uanze kuvuta bangi??!! Mimi binafsi huwa navuta kwa recreational purposes na sijawahi kupata madhara yoyote, sometimes pia huwa naitumia endapo naona kichwa kina mambo mengi huwa inanisaidia kupanga mafaili vizuri kichwani
kuna siku was3ng waliniuzia makushabu dah nilihisi kuwehuka ile siku siisahau nfo nkaelewa kwann mtu ankua chizi kwa ajili ya yale madudeHumu jukwaaani pusha wetu ni mmoja tu, naye ni Maghayo ..
Mcheki ana kitu standard.
On a serious note , bangi itakubangua pale tu utakapokula makushabu ya kiwaki.
Lazma upate indoor high grade ambazo utachagua either sativa au indica depending on your preference.
Na kuivuta pia kuna utaratibu wake sio unapuliza tu kama unachochea jiko la kuni.
Hahaha a day never passes without inhaling countless puffs. Bangi na Sigara ndo zinanimaliziaga pesa. Siku nikija kupunguza (kamwe siwezi kuacha). Nitasave sana.Humu jukwaaani pusha wetu ni mmoja tu, naye ni Maghayo ..
Mcheki ana kitu standard.
On a serious note , bangi itakubangua pale tu utakapokula makushabu ya kiwaki.
Lazma upate indoor high grade ambazo utachagua either sativa au indica depending on your preference.
Na kuivuta pia kuna utaratibu wake sio unapuliza tu kama unachochea jiko la kuni.
Hakikisha inatoa inta wakati wa kuvuta hiyo ndio mjani OG.kuna siku was3ng waliniuzia makushabu dah nilihisi kuwehuka ile siku siisahau nfo nkaelewa kwann mtu ankua chizi kwa ajili ya yale madude
Bangi unaacha vizuri tu Na sigara pia unaacha vizuri tuHahaha a day never passes without inhaling countless puffs. Bangi na Sigara ndo zinanimaliziaga pesa. Siku nikija kupunguza (kamwe siwezi kuacha). Nitasave sana.
Legalise it.
adriz Mufti kuku The Infinity
Bangi na sigara hutakiwi kuacha bali unatakiwa kupunguza. Kuvuta bangi siyo makosa. Hata kwenye Biblia wakati wa Nuhu kwenye safina Yule njiwa Nuhu alimtuma kuangalia kama maji yamekauka alirudi na jani mdomoni naam na hilo Jani ndo bangi yenyewe.Bangi unaacha vizuri tu Na sigara pia unaacha vizuri tu
Wewe lazima ni chalii ya Ar.Hakuna msoro anajua kushabu ya kiwaki!!!Humu jukwaaani pusha wetu ni mmoja tu, naye ni Maghayo ..
Mcheki ana kitu standard.
On a serious note , bangi itakubangua pale tu utakapokula makushabu ya kiwaki.
Lazma upate indoor high grade ambazo utachagua either sativa au indica depending on your preference.
Na kuivuta pia kuna utaratibu wake sio unapuliza tu kama unachochea jiko la kuni.
Jitahidi sana uitafute uipate na uivute ili ujue matokeo yake practically na sio kusimuliwa tu. Wakati mwingine unaweza kuambiwa uongo na ukakubali kumbe sio!Inakuaje bangi inawekwa kundi la madawa ya kulevya?
Mbona Kuna Wana wanavuta sana ganja lakini wapo poa sana na wanafanya kazi zao vizuri tuu.
Kitu kama shisha ndio naskia ina madhara mengi sana, yupo jamaa mmoja aliniambia bangi ni dawa .
Je inamadhara Gani??
Natamani nianze kuvuta bangi ila sijui nazipata vipi nikipata mtu WA kuniuzia itakua poa sana nipo Toangoma hapa [emoji41]
Duh naitamani sanaHumu jukwaaani pusha wetu ni mmoja tu, naye ni Maghayo ..
Mcheki ana kitu standard.
On a serious note , bangi itakubangua pale tu utakapokula makushabu ya kiwaki.
Lazma upate indoor high grade ambazo utachagua either sativa au indica depending on your preference.
Na kuivuta pia kuna utaratibu wake sio unapuliza tu kama unachochea jiko la kuni.
Namimi ndio nataka hvyo, Yani kama weekend hivi watu wanavyoenda bar, Mimi navuta Bangi, au nikiwa na kitu cha kutafakari Kwa kina, sio kwamba navuta vuta tuu kilasiku au Kila saa kama sigara, hapanaKwa nini unataka uanze kuvuta bangi??!! Mimi binafsi huwa navuta kwa recreational purposes na sijawahi kupata madhara yoyote, sometimes pia huwa naitumia endapo naona kichwa kina mambo mengi huwa inanisaidia kupanga mafaili vizuri kichwani