Ni ngumu asee labda kupunguza.Bangi unaacha vizuri tu Na sigara pia unaacha vizuri tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ngumu asee labda kupunguza.Bangi unaacha vizuri tu Na sigara pia unaacha vizuri tu
Asee ulikosea sana.Nishawai kuvuta mwaka 2012 nikaacha
😳Asee ulikosea sana.
DuuhHumu jukwaaani pusha wetu ni mmoja tu, naye ni Maghayo ..
Mcheki ana kitu standard.
On a serious note , bangi itakubangua pale tu utakapokula makushabu ya kiwaki.
Lazma upate indoor high grade ambazo utachagua either sativa au indica depending on your preference.
Na kuivuta pia kuna utaratibu wake sio unapuliza tu kama unachochea jiko la kuni.
Nini hiko umeweka lakini
😳mimi?Nini hiko umeweka lakini
Doh kumbe kaedit bhana ndo nmestuka😳mimi?
🙏🏽Doh kumbe kaedit bhana ndo nmestuka
Jambo jema,kwangu Safi bebeNiko poa cute vp?
Kaka unaacha amini nakwambiaNi ngumu asee labda kupunguza.
Ni ngumu asee na ukiwacha ni dhambi. Ni kupunguza tu uvutaji.Kaka unaacha amini nakwambia
Binafsi nasema NIMEACHA sababu siivuti tena.Ni ngumu asee na ukiwacha ni dhambi. Ni kupunguza tu uvutaji.
Ukitaka kuvuta bangi kaka uwe na hela ya kula,maana inakawaida ya kuleta njaa sana,pia uwe mtu wa kupenda vitu vitamu vitamu kama kashata visheti ubuyu,bila kusahau maji na majuisi usikose inakawaida ya kukausha maji mwilini,na pia kumbuka ukivuta bangi kwa nongwa zinakasumba ya kusahaulisha,alafu bangi ni kinga ya ukimwi,yaani ukivuta hii.michongo ya kuwa na mademu wengi itakupitia mbali sana,pia usisahau ukivuta bangi mwanamke hata kama alikukubari kwa kukujaribu tuu basi atajikuta anashindwa kabisa kukuacha,na ukitaka kuwa mpole usiyependa makelele wala maugomvi,bangi ni kimbilio sahihi.Vuta bangi kwa faida yako mwenyewe.Duh naitamani sana