kevin strootman
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 1,114
- 1,872
- Thread starter
- #21
Hivi inakuaje hiyokuna siku was3ng waliniuzia makushabu dah nilihisi kuwehuka ile siku siisahau nfo nkaelewa kwann mtu ankua chizi kwa ajili ya yale madude
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi inakuaje hiyokuna siku was3ng waliniuzia makushabu dah nilihisi kuwehuka ile siku siisahau nfo nkaelewa kwann mtu ankua chizi kwa ajili ya yale madude
Ila sigara sio, naskia ina madhara sana borabangiHahaha a day never passes without inhaling countless puffs. Bangi na Sigara ndo zinanimaliziaga pesa. Siku nikija kupunguza (kamwe siwezi kuacha). Nitasave sana.
Legalise it.
adriz Mufti kuku The Infinity
Inafanya mtu unachimba sana au sioHakikisha inatoa inta wakati wa kuvuta hiyo ndio mjani OG.
Moshi wake unakuwa mzito na hutakiwi kuvuta sehemu Za kerere mana kama Ni kwenye mziki unaweza kumwambia DJ azime mziki mana kuna vitu vyako muhimu unavifikiria [emoji23][emoji23][emoji23]
Achana na ile kitu kabisa Ina maswali fikirishi sana Na kila jibu unalojipa bado litaleta swali.
Na jibu kamili likija basic ndio Hilo hilo.
Hapo kwenye kupata anaeuza yenyewe ndio shidaKitu kizuri kwenye bangi haina addiction ila chunga sana usitumie bangi pamoja na vitu vingine kama pombe na sigara kama unaona ni mtumiaji wa hivyo vitu basi acha usitumie bangi kabisa.
Pia Chunga sana hizi bangi zinazouzwa mtaani kutokana na kuwa bangi ni illegal hapa kwetu tunakosa vyombo vya kusimamia ubora wa bangi kuanzia shambani mpaka kumfikia mtumiaji kitu kinachopelekea watu wengi kuvutishwa uchafu ambao ni hatari sana kwa afya ya akili nyingine wanachanganya na petrol/diesel ili kuongeza ukali, hivyo umakini ni muhimu ukishindwa bora usitumie kabisa.
Kweli kabisa, hua natamani niipande niwe navuna og navuta [emoji1787]Bangi ni dawa..Achana na hizo takataka nyingine kama sigara na shisha utajimaliza
Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
Nishawai kuvuta mwaka 2012 nikaachaJitahidi sana uitafute uipate na uivute ili ujue matokeo yake practically na sio kusimuliwa tu. Wakati mwingine unaweza kuambiwa uongo na ukakubali kumbe sio!
Eee man.Inafanya mtu unachimba sana au sio
Mara ya Kwanza ilikuwa 2007 naanza kuvuta weedNishawai kuvuta mwaka 2012 nikaacha
Basi bora utulie usiwe na papara nayo uhakika zaidi ni ile unayopanda na kuitunza mwenyewe zilizobaki ni kubahatisha kitu ambacho ni hatariHapo kwenye kupata anaeuza yenyewe ndio shida
VizuriNamimi ndio nataka hvyo, Yani kama weekend hivi watu wanavyoenda bar, Mimi navuta Bangi, au nikiwa na kitu cha kutafakari Kwa kina, sio kwamba navuta vuta tuu kilasiku au Kila saa kama sigara, hapana
Tatizo serikali haipati kodiInakuaje bangi inawekwa kundi la madawa ya kulevya?
Mbona Kuna Wana wanavuta sana ganja lakini wapo poa sana na wanafanya kazi zao vizuri tuu.
Kitu kama shisha ndio naskia ina madhara mengi sana, yupo jamaa mmoja aliniambia bangi ni dawa .
Je inamadhara Gani??
Natamani nianze kuvuta bangi ila sijui nazipata vipi nikipata mtu WA kuniuzia itakua poa sana nipo Toangoma hapa [emoji41]
Toangoma mtafute Jenerali nyumbani kwake kwa nje zimetundikwa raba kwenye nyaya za umeme. Utanishukuru baadaeInakuaje bangi inawekwa kundi la madawa ya kulevya?
Mbona Kuna Wana wanavuta sana ganja lakini wapo poa sana na wanafanya kazi zao vizuri tuu.
Kitu kama shisha ndio naskia ina madhara mengi sana, yupo jamaa mmoja aliniambia bangi ni dawa .
Je inamadhara Gani??
Natamani nianze kuvuta bangi ila sijui nazipata vipi nikipata mtu WA kuniuzia itakua poa sana nipo Toangoma hapa [emoji41]
Wale wanajichetua tu mkuuUkitakq kujua madhara ya bangi angalia wale jamaa wa Arusha wanaozurura na piki piki ila sio boda boda wanaojiita Wadudu wale watakupa picha kamili.
Bangi mbaya sababu inasisimua homoni zinazotakiwa kutumika kwa kusudio maalumu. Yaani ni sawa na kupaka mkongo wakati hauna mwanamke. Lazima uharibu.
Usijichoshe Mkuu.
aaah sio poa mzeeHivi inakuaje hiyo
Hakikisha inatoa inta wakati wa kuvuta hiyo ndio mjani OG.
Moshi wake unakuwa mzito na hutakiwi kuvuta sehemu Za kerere mana kama Ni kwenye mziki unaweza kumwambia DJ azime mziki mana kuna vitu vyako muhimu unavifikiria 😂😂😂
Achana na ile kitu kabisa Ina maswali fikirishi sana Na kila jibu unalojipa bado litaleta swali.
Na jibu kamili likija basic ndio Hilo hilo.
Ingine wanachanganya na pili pili, ndo maana vijana wanavurugwa hovyoo.Kitu kizuri kwenye bangi haina addiction ila chunga sana usitumie bangi pamoja na vitu vingine kama pombe na sigara kama unaona ni mtumiaji wa hivyo vitu basi acha usitumie bangi kabisa.
Pia Chunga sana hizi bangi zinazouzwa mtaani kutokana na kuwa bangi ni illegal hapa kwetu tunakosa vyombo vya kusimamia ubora wa bangi kuanzia shambani mpaka kumfikia mtumiaji kitu kinachopelekea watu wengi kuvutishwa uchafu ambao ni hatari sana kwa afya ya akili nyingine wanachanganya na petrol/diesel ili kuongeza ukali, hivyo umakini ni muhimu ukishindwa bora usitumie kabisa.
🤣🤣Bangi na sigara hutakiwi kuacha bali unatakiwa kupunguza. Kuvuta bangi siyo makosa. Hata kwenye Biblia wakati wa Nuhu kwenye safina Yule njiwa Nuhu alimtuma kuangalia kama maji yamekauka alirudi na jani mdomoni naam na hilo Jani ndo bangi yenyewe.
Legalise it maamae