Hivi kuvuta bangi Kuna madhara Gani?

Inafanya mtu unachimba sana au sio
 
Hapo kwenye kupata anaeuza yenyewe ndio shida
 
Inafanya mtu unachimba sana au sio
Eee man.

Kuna siku niliuchambua huu ulimwengu Na Dini zake asee.

Kuanzia hiyo siku nikaachana Na Dini.

Kuhusu jibu la mungu yupo au hayupo asee ilikuwa inagonga kengere sana.

Nikaja kupata jibu kwamba yupo ambaye amedizain hii galaxy
 
Tatizo serikali haipati kodi


Shida inaanzia hapo πŸ˜‚πŸ˜‚


Maana hata pombe kali zinauzwa ila kwa kuwa kodi inapatikana hakuna neno
 
Haina madhara ila vuta kwa step usivute kama ratiba ya kila muda.
Kama mwanao alivyokwambia ni dawa ni kweli bangi ni dawa hivyo unatakiwa uvute pale ambapo una uhitaji (purposefully)
Huwezi kunywa piriton kila muda hata kama huna mafua eti kisa inaleta usingizi hiyo itakuwa (abuse)
 
Ukitakq kujua madhara ya bangi angalia wale jamaa wa Arusha wanaozurura na piki piki ila sio boda boda wanaojiita Wadudu wale watakupa picha kamili.

Bangi mbaya sababu inasisimua homoni zinazotakiwa kutumika kwa kusudio maalumu. Yaani ni sawa na kupaka mkongo wakati hauna mwanamke. Lazima uharibu.

Usijichoshe Mkuu.
 
Toangoma mtafute Jenerali nyumbani kwake kwa nje zimetundikwa raba kwenye nyaya za umeme. Utanishukuru baadae

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Wale wanajichetua tu mkuu

Weed haitaki uwe vile hata kidogo..
 
Nsaidie pakuipata hi yenyewe uku mtaani wanaleta makapi tu
 
Ingine wanachanganya na pili pili, ndo maana vijana wanavurugwa hovyoo.
 
🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…