jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,245
Yaani hii tabia ya vijana hasa wenye umri mdogo walinzi wa viongozi ya kutishia kuwapiga watu na risasi si ya haki kabisa.
Mchana huu hapa maeneo ya Ihumwa Dodoma karibu na makazi ya mkubwa mmoja mstaafu bwana mdogo mmoja akiwa na ndani ya v8 nyeusi yenye vioo vya giza amemtishia msukuma toroli kumpiga na bastora kisa tu amegoma kumpisha kwenye njia ya mchepuko.
Maskini kijana wa watu akiwa na lumbesa la mawe ndani ya mkokoteni ilimuwia vigumu kupisha gari lile la kifahari na busara kidogo tu ilihitajika kwa dereva wa v8 angesubiri yule kijana apite na ndiposa pia naye akate kona.
Kwakweli leo ndiyo nimekerwa mno na vitisho vya namna ile!
Mchana huu hapa maeneo ya Ihumwa Dodoma karibu na makazi ya mkubwa mmoja mstaafu bwana mdogo mmoja akiwa na ndani ya v8 nyeusi yenye vioo vya giza amemtishia msukuma toroli kumpiga na bastora kisa tu amegoma kumpisha kwenye njia ya mchepuko.
Maskini kijana wa watu akiwa na lumbesa la mawe ndani ya mkokoteni ilimuwia vigumu kupisha gari lile la kifahari na busara kidogo tu ilihitajika kwa dereva wa v8 angesubiri yule kijana apite na ndiposa pia naye akate kona.
Kwakweli leo ndiyo nimekerwa mno na vitisho vya namna ile!