Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Sure.Kipepeo mweusi kaota meno alitaka kumuuma mtu.Madaraka ya kulevya ni kama ulevi wa Cocaine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure.Kipepeo mweusi kaota meno alitaka kumuuma mtu.Madaraka ya kulevya ni kama ulevi wa Cocaine
Wengi ni vilaza wamewekwa bila utaratibu....wengi walifeli shuleni
Ulimbukeni tu.Hamna watu siwapendi kama wavaa Kaunda suti fulani! Yaani akishavaa hio Kaunda suti anajiona yuko juu ya sheria na juu ya kila kitu.
naunga hoja mkono.Hiyo haihusiani na kuwa mlinzi wa viongozi, ni tabia binafsi ya mtu. Huyo ni tabia yake, walinzi wa viongozi wana ethics & discipline ya kiwango cha juu sana hawawatishi wananchi kwa silaha yoyote ile au kutishia kuua, nadhani hujawahi sikia hata siku moja mlinzi wa kiongozi fulani wa juu katishia kuua.. Huyo kama kweli kafanya hivyo, ni tabia yake binafsi na ni kosa
Kabisa aseee..Hapa Dodoma sasaivi ndio wamejaa balaaHamna watu siwapendi kama wavaa Kaunda suti fulani! Yaani akishavaa hio Kaunda suti anajiona yuko juu ya sheria na juu ya kila kitu.
Till you get there and see for yourselfThe grass is always greener on the other side of the fence.
Watu wanadhani hao jamaa wanaenjoy sana,kumbe wana stress za kufa mtu.
Haka kamsemo nimekaona kwenye mada nyingi sana, kana maana gani?Usitufokee
Haka kamsemo nimekaona kwenye mada nyingi sana, kana maana gani?
Tena ni kama kanawekwa kwa kuvizia ama kutelekezwa na mtu mwenye kuzinduka toka usingizini!
Tuseme ni kimsemo kipya cha mjini nini?
Mbona kanakuwa hakana mkia?
Haka kamsemo nimekaona kwenye mada nyingi sana, kana maana gani?
Tena ni kama kanawekwa kwa kuvizia ama kutelekezwa na mtu mwenye kuzinduka toka usingizini!
Tuseme ni kimsemo kipya cha mjini nini?
Mbona kanakuwa hakana mkia?
Nimekaona seem nyingi sn umu'Jf.We umesikia wapi?
Unamreport vipi kashakuu?Wengi hawana shule,yale masuti yao yasikitushe....ukitaka kumkomesha na wewe mtishe....Mwambie nitakuripoti huu upuuzi wako kwa mamlaka husika....atakimbia kama mshale.