Duuh maneno mazito kabisa kuwahi kuyasikia kutoka Kwa mwanamke ningekua nauwezo ningetoa posa kabisaHakuna kitu kama "single mother". Hakuna mtoto asiye na baba.
Kujiita "single mother" ni kujipachika jina la kuhurumiwa. Unacheza na akili za watu.
Nnaota ki English wacha kukielewa. Hilo si jina, ni sifa. Sifa mbaya ki maadili. Siioni sababu ya mtu kujisifu kuwa eti ni "single mother". Mtoto yupi asiye na baba?Hujaelewa context ya hilo jina!
Wewe sio native English speaker,natives wenye lugha yao ndio wametoa hilo jina!
Sijui wewe unawabishia wenye lugha yao meaning na context yao wewe kama nani hasa?
Wewe sio native English speaker,sio English language scholar,sio yeyote hapo,ila unawabishia matumizi yao kwa maana yao waliyojiwekea wao,sijui haya mapafu unatolea wapi?
Nilisema mm wakishaona neno tu single mother lazima mapovu yawatokeWatu wa jf jifunzeni kusoma habari ndipo mkomenti jamani kaahh!!
Ni ujinga kuzaa na mwanaume ambaye sio mume wako...ni sawa na kubet kwa pesa ya chakula, ikiliwa umelala njaa.
Sio kweli, mbona wanawake kibao wanaolewa kwenye 30's!! Besides, kwani kuolewa ni lazima? Kuna watu wameolewa halafu ndoa imevunjika baada ya mwaka, tayari hapo kuna single mother....wanawake wana nafasi kubwa kuamua hatma zao, hasa kama watatuliza akili kujua yupi mwanaume sahihi kwakeNa wasipoolewa mpaka 25+ mnasema wamezeeka hamuwaoi
Nnaota ki English wacha kukielewa. Hilo si jina, ni sifa. Sifa mbaya ki maadili. Siioni sababu ya mtu kujisifu kuwa eti ni "single mother". Mtoto yupi asiye na baba?
Ni sifa ndio,nimetaja neno 'jina" metaphorically!
Single mama gani kajisifu?
Kwanini response yako imekua reactionary sana kwao?
Watoto wote wana baba biologically ila socially sio wote!
Na hili unalijua!
Inaonesha una maadili sana mpaka unapata mamlaka ya kuhukumu wanadamu wengine.
Thats cute really!
Habari zenu,sihitaji kashfa wala matusi hapa maana kuna watakatifu humu koo zao hazina singo mama wala walioachana..
Jf wanapita watu wengi mnoo!!!waliojiunga na wasiojiunga naomba kuuliza hivi singo mama siku hizi imekua ulemavu,kosa,dhambi au fursa!
Mimi sielewi maana naona Mara makongamano ya masingo maza,Mara sijui tamasha La singo mama,uwaunge mkono sijui uwachangie...jamani!!!
Hivi wanawake kwa nini tunapenda kujiona sisi ni waathirika wa kila jambo ambalo jamii inaliangali ktk mrengo tofauti...?
Mbona hakuna hayo mambo kwa wababa wanaolea watoto wenyewe?au wao hawakutani na changamoto za kimalezi?
Mimi binafsi sipendi na nachukia hii kitu (mniwie radhi kwa nitakaowakwaza)ila naona kama vile kujidhalilisha flani hivi...au ndo kutojiamini kama tunaweza!kwa staili hii tunataka usawa na wanaume...haitokaa itokee mpk Yesu arudi...!!!
Kama uliweza kubeba mimba,ikataliwe isikataliwe ukajifungua watoto au mtoto wako mwenyewe kwa nini usikomae mbona vijijini huko watu wanatelekezwa na wanalea watoto wao bila misaada?
Kama umetengana na mmeo au mmeachana kama unahisi huwezi kuwahudumia watoto si uwapeleke kwa baba yao?kama hutaki kaa nao Leo mwenyewe!!!
Yaani sasa hivi huku mijini masingo mama naona wanafanywa mitaji na watu wachache kujiingizia kipato na wenyewe wanaona kama wanapendwa kumbe hawajui ukiona umeitiwa fursa basi jua wewe ndo fursa yenyewe!!!
Wapo wanawake wengi wanalea watoto wao tena kwa shida na hawapigi kelele kimya kimya mpk wanakua!
Wamama wenzangu hii mitandao isifanye tujidhalilishe jamani...hebu tupambane kivingine sio mpk matangazo..maana huko kwenye mitandao siku hizi sijui wameonelea biashara ya Kuwakusanya singo mamaz inalipa kila mtu anaibuka na hoja zake!!
Tuinuke tupambane tusipende kujiweka nyuma!!!
Habari zenu,sihitaji kashfa wala matusi hapa maana kuna watakatifu humu koo zao hazina singo mama wala walioachana..
Jf wanapita watu wengi mnoo!!!waliojiunga na wasiojiunga naomba kuuliza hivi singo mama siku hizi imekua ulemavu,kosa,dhambi au fursa!
Mimi sielewi maana naona Mara makongamano ya masingo maza,Mara sijui tamasha La singo mama,uwaunge mkono sijui uwachangie...jamani!!!
Hivi wanawake kwa nini tunapenda kujiona sisi ni waathirika wa kila jambo ambalo jamii inaliangali ktk mrengo tofauti...?
Mbona hakuna hayo mambo kwa wababa wanaolea watoto wenyewe?au wao hawakutani na changamoto za kimalezi?
Mimi binafsi sipendi na nachukia hii kitu (mniwie radhi kwa nitakaowakwaza)ila naona kama vile kujidhalilisha flani hivi...au ndo kutojiamini kama tunaweza!kwa staili hii tunataka usawa na wanaume...haitokaa itokee mpk Yesu arudi...!!!
Kama uliweza kubeba mimba,ikataliwe isikataliwe ukajifungua watoto au mtoto wako mwenyewe kwa nini usikomae mbona vijijini huko watu wanatelekezwa na wanalea watoto wao bila misaada?
Kama umetengana na mmeo au mmeachana kama unahisi huwezi kuwahudumia watoto si uwapeleke kwa baba yao?kama hutaki kaa nao Leo mwenyewe!!!
Yaani sasa hivi huku mijini masingo mama naona wanafanywa mitaji na watu wachache kujiingizia kipato na wenyewe wanaona kama wanapendwa kumbe hawajui ukiona umeitiwa fursa basi jua wewe ndo fursa yenyewe!!!
Wapo wanawake wengi wanalea watoto wao tena kwa shida na hawapigi kelele kimya kimya mpk wanakua!
Wamama wenzangu hii mitandao isifanye tujidhalilishe jamani...hebu tupambane kivingine sio mpk matangazo..maana huko kwenye mitandao siku hizi sijui wameonelea biashara ya Kuwakusanya singo mamaz inalipa kila mtu anaibuka na hoja zake!!
Tuinuke tupambane tusipende kujiweka nyuma!!!
Ni sifa ndio,nimetaja neno 'jina" metaphorically!
Single mama gani kajisifu?
Kwanini response yako imekua reactionary sana kwao?
Watoto wote wana baba biologically ila socially sio wote!
Na hili unalijua!
Inaonesha una maadili sana mpaka unapata mamlaka ya kuhukumu wanadamu wengine.
Thats cute really!