GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kwa we muzee unapost taarifa ngapi za Yanga?Kwa Mbobezi / Wabobezi wa Saikolojia ( hasa ile ya Mawasiliano ) kama GENTAMYCINE ukiziangalia tu kwa umakini wako wote Picha zote za Wachezaji wa Yanga SC wakiwa Safarini kuelekea nchini Tunisia wala hupati shida kujua kuwa Wameshafungwa na Kutolewa rasmi katika CAFCC hivyo watarejea Kuendelea na Kombe lao la 'Tigo Pesa Unbeaten Record' linalodhaminiwa na GSM kwa Kushirikiana na NBC.
Imeisha hiyo........
100 kwa Siku na nyingine naileta hivi punde na Nitakutagi pia sawa Mkuu wangu?Kwa we muzee unapost taarifa ngapi za Yanga?
Wana Yanga SC wenye Akili na mnaojitambua kama Wewe mpo wachache mno hapa JamiiForums. Heko Kwako.Nabi hana mbunu mpya ya kushinda game yeyote kwa sasa
Hata game za ndani hana tena mbinu huo ndio ukweli mchungu!!
Sawa muzeye.100 kwa Siku na nyingine naileta hivi punde na Nitakutagi pia sawa Mkuu wangu?
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
Matusi yann punguzeni ujuhaWe single mother yanga amekutia mimba akakuteleza saiv una makasiriko kiasi hicho
Yanga tunashinda
Utakuja sijui kuleta ushuzi gan
Tumbafu mbumbumbu wewe
Unajua bolu ila nabi mnae sana mpaka mtoe machozi ya samakiNabi hana mbunu mpya ya kushinda game yeyote kwa sasa
Hata game za ndani hana tena mbinu huo ndio ukweli mchungu!!
Dawq imeingia sasaWe single mother yanga amekutia mimba akakuteleza saiv una makasiriko kiasi hicho
Yanga tunashinda
Utakuja sijui kuleta ushuzi gan
Tumbafu mbumbumbu wewe
Huu ni ukweli lakini wale oya oya watakushukia kwa lugha za kejeli sasa hivi. Wapi Tate Mkuu, polofesa anakejeliwa huku lete uteteziNabi hana mbunu mpya ya kushinda game yeyote kwa sasa
Hata game za ndani hana tena mbinu huo ndio ukweli mchungu!!
Kwahiyo Yanga katolewa?hii inadhihirisha mlivo wapuuzi wewe na mtoa post [emoji57]Huu ni ukweli lakini wale oya oya watakushukia kwa lugha za kejeli sasa hivi. Wapi Tate Mkuu, polofesa anakejeliwa huku lete utetezi
Aisee ulijiaibisha sana! Siyo kwa mada zako hizi za kipopoma dhidi ya Wananchi!Kwa Mbobezi / Wabobezi wa Saikolojia ( hasa ile ya Mawasiliano ) kama GENTAMYCINE ukiziangalia tu kwa umakini wako wote Picha zote za Wachezaji wa Yanga SC wakiwa Safarini kuelekea nchini Tunisia wala hupati shida kujua kuwa Wameshafungwa na Kutolewa rasmi katika CAFCC hivyo watarejea Kuendelea na Kombe lao la 'Tigo Pesa Unbeaten Record' linalodhaminiwa na GSM kwa Kushirikiana na NBC.
Imeisha hiyo........
Nipo hapa! Haya lete habari sasa!! Yanga imetolewa na nani?Huu ni ukweli lakini wale oya oya watakushukia kwa lugha za kejeli sasa hivi. Wapi Tate Mkuu, polofesa anakejeliwa huku lete utetezi
Bobezi kwenye nini [emoji3064][emoji3064]Kwa Mbobezi / Wabobezi wa Saikolojia ( hasa ile ya Mawasiliano ) kama GENTAMYCINE ukiziangalia tu kwa umakini wako wote Picha zote za Wachezaji wa Yanga SC wakiwa Safarini kuelekea nchini Tunisia wala hupati shida kujua kuwa Wameshafungwa na Kutolewa rasmi katika CAFCC hivyo watarejea Kuendelea na Kombe lao la 'Tigo Pesa Unbeaten Record' linalodhaminiwa na GSM kwa Kushirikiana na NBC.
Imeisha hiyo........
Hakuna ukweli mchungu wowote ule! Mbona ameiongoza sasa timu yake kushinda ugenini, na kufuzu hatua ya makundi!!Nabi hana mbunu mpya ya kushinda game yeyote kwa sasa
Hata game za ndani hana tena mbinu huo ndio ukweli mchungu!!