Hivi kwa hapa Bongo kuna msanii anamfikia DJ Nalimison kwa kumiliki mtoto mkali?

Hivi kwa hapa Bongo kuna msanii anamfikia DJ Nalimison kwa kumiliki mtoto mkali?

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Huyu jamaa kwa wasanii hapa Bongo bado sijaona msanii anamiliki chombo ya ukweli kama DJ Nalimison.
Huyu hapa shemeji yetu siku alipoenda ukweni kuwatembelea nymbani kwao na kina DJ Nalimison maeneo ya Shinyanga nakuamua kufanya mazoezi maeneo ya Ngokoro matope na maeneo ya jirani na hapo kwao Dj.
japo wananchi walishangaa kidogo uvaaji wao lakini ndio hivyo tayari huyu ndio shemu letu.
FOKB0B_XEAsJ92h.jpg


download (1).jpg


Sasha-and-Malia-Obama-enjoy-celebrity-loved-LA-hiking-trail.jpg
 
Huyu jamaa kwa wasanii hapa Bongo bado sijaona msanii anamiliki chombo ya ukweli kama DJ Nalimison.
Huyu hapa shemeji yetu siku alipoenda ukweni kuwatembelea nymbani kwao na kina DJ Nalimison maeneo ya Shinyanga nakuamua kufanya mazoezi maeneo ya Ngokoro matope na maeneo ya jirani na hapo kwao Dj.
japo wananchi walishangaa kidogo uvaaji wao lakini ndio hivyo tayari huyu ndio shemu letu.
View attachment 2162253

View attachment 2162254

View attachment 2162255
Sasha and Maria Obama..hawa ukiwat*mba bila sababu za msingi Obama lazima azae na wewe...
 
Hao mademu unaweza kuhisinwa maana wakati huyo mmoja kila siku yupo na masela kwenye party wanakuta anakula ganja.

Mitoto ya Ulaya ni shida tupu hapo.
 
Civilian Coin aka DJ Nalimison kwa sasa amejifungia studio kwa ajili ya project yake kali sana ya mwaka 2022!

Hivyo nikiwa kama Meneja wake, napenda kuwathibitishia mashabiki wa DJ Don Nalimison, na ambaye kwa sasa anatambulika kama Civilian Coin! muwe tu wavumilivu! Maana mambo mazuri hayataki haraka.

Na kuhusu huyo mtoto mkali Malia Obama, mchakato wa ndoa uko hatua za mwisho kabisa. Tunamsubiri amalizie kwanza masomo yake pale Harvard University. Posa na Mahari tumeshalipa kitambo tu.
 
Huyu jamaa kwa wasanii hapa Bongo bado sijaona msanii anamiliki chombo ya ukweli kama DJ Nalimison.
Huyu hapa shemeji yetu siku alipoenda ukweni kuwatembelea nymbani kwao na kina DJ Nalimison maeneo ya Shinyanga nakuamua kufanya mazoezi maeneo ya Ngokoro matope na maeneo ya jirani na hapo kwao Dj.
japo wananchi walishangaa kidogo uvaaji wao lakini ndio hivyo tayari huyu ndio shemu letu.
View attachment 2162253

View attachment 2162254

View attachment 2162255
Hakuna kwakweli, yani anamiliki vitu premium watoto wakali, flow kali, ndinga kali, akili kali, views za kumwaga.
Jamaa kwakweli sio level ya wasanii hawa wa nchi hii
 
Huyu jamaa kwa wasanii hapa Bongo bado sijaona msanii anamiliki chombo ya ukweli kama DJ Nalimison.
Huyu hapa shemeji yetu siku alipoenda ukweni kuwatembelea nymbani kwao na kina DJ Nalimison maeneo ya Shinyanga nakuamua kufanya mazoezi maeneo ya Ngokoro matope na maeneo ya jirani na hapo kwao Dj.
japo wananchi walishangaa kidogo uvaaji wao lakini ndio hivyo tayari huyu ndio shemu letu.
View attachment 2162253

View attachment 2162254

View attachment 2162255
Ahahaha

Baba mkwe wake anajua?
 
Huyo dj anapigaa redio gan au club gan weekend nikashuhudie secrachiii zake au midundo yake redioni,km tbc n kpnd gan ???
 
Labda kwa sababu hajichubui kama pisi za bongo
 
Back
Top Bottom