Hivi kwa mlo kama huu wachezaji wetu watatoa wapi nguvu jamani?

Hivi kwa mlo kama huu wachezaji wetu watatoa wapi nguvu jamani?

Crimea

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2014
Posts
25,874
Reaction score
36,030
Nmeangalia hii picha nmecheka sana!

Ndio maana unakuta uwanjani mtu anapepesuka kama jani la mgomba! Dah..

0de1dae6a3517bf0d5525dc076a34d35.jpg
 
Seriously wachezaji wetu ni very weak kwa kuwaangalia tu unaona. Hawana mazoezi ya kutosha japo kuna upungufu wa gym na vifaa bora ila pia hawazingatii athletic diet kabisa.

Ninacheza mpira kama hobby na nilicheza bongo na nimecheza nje nimeona tofauti ilivyo kubwa. Wachezaji wetu ni wembamba, dhaifu, hawana athletic body wakati wachezaji wa nje ni wembamba but lean fit. It all boils down to mazoezi na menu.
 
Wachezaji wa Tanzania ni wadhaifu, goigoi hawana afya ya kimichezo.

Hata wakipatiwa chakula hasa hawawezi kumaliza kwsbb hawajazoea kula hivyo.
 
Kisa ni wachezaji wa simba.ila ingekuwa yanga.mngekaa kimya.
 
Hii ni kawaida kwa wachezaji wa kibongo wala usishangae mkuu labda kama ndo umefika leo Tz.
 
Back
Top Bottom