Mzee wa old school
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 873
- 1,405
Umenena vyema kabisaUlitaka ijengwe wapi ambako usingehoji?
Dodoma ni katikati ya nchi so ni rahisi kwa vichaa kutoka sehemu mbalimbali za nchi kupafikia. Fikiria unasafirisha kichaa wako kutoka Bukoba au Musoma mpaka Dar au Songea. Mbali mno!