Nchi hii ina Watu wajinga sana. Hata kujiridhisha huduma gani zinazotolewa Mirembe.swali lako linavinasaba vya utovu wa nidhamu
Nimemtajia Hospital special kama ilivyo Mirembe.Kuna Benjamin Mkapa. Moja ya hospitali kubwa Nchini
Yeah
Hii zamani, zamani gani? Na unachosema kimetokea wapi?Asilimia kubwa ya vichaa wanatokea Singida .Zamani pale lilikuwa ilipo lilikuwa jimbo la kati likijus8sha mikoa ya Dodoma na singida .Baada ya mkoloni kuona vichaa wengi wako eneo hilo ndipo hospitali ikajengwa hapo.Wateja wakubwa wa hiyo hospitali ni kutoka Singida