Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Ndio hivyo babe
Haitanifaa sana mkuu. Itaniongezee matatizo.Mambo mengi kama yepi blessed...
Mpigie leo simu umwambie umemmiss Loh 😉😉
🙆♀️Ndiwooooooooo! Owongo owongoo??[emoji23][emoji23] Unakuta nje anavutia balaaa ila ndani kaduchuuuu! Kweli Mungu hakupi vyote[emoji16][emoji16][emoji16]
Wacha bhana😁😁😁Ndio hivyo babe
Sio wote usisononeke🙆♀️
Sawa baba 😊😊Haitanifaa sana mkuu. Itaniongezee matatizo.
Ndio naanza kidogo kidogoWacha bhana😁😁😁
Ni kweli kwa asilimia flani. Nina mifano miwili inayokinzana 🤣Ndiwooooooooo! Owongo owongoo??[emoji23][emoji23] Unakuta nje anavutia balaaa ila ndani kaduchuuuu! Kweli Mungu hakupi vyote[emoji16][emoji16][emoji16]
Acha bhana😁😁Sio wote usisononeke
Hivyoooo😁😁😁Ndio naanza kidogo kidogo
Wengi wao! Hongera sana!Sio wote usisononeke
Mmeanza tenaWanaume warefu aisee wanavutia mno! Afu muda wa kukiss sharti babe ainame kidogo kunifikia ama mimi niinue kichwa kidogo kumfikia raha, popote mlipo nawapendaa
Kimeumanaa😅Hata wanawake warefu wanapenda wanaume warefu.
Sasa mwanaume unakuwaje mfupi eti[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Unakuta mwingine shortiiii ana mzigo mcheshiii ma care kama yote ila tatizo hana pesaaa dahh!![emoji134][emoji2296]
Mbona ni ghafla sana jamani? Hatujajiandaa.... Tupewe muda kidogo.Wanawake wafupi wauwawee
Hahahahahaha hata wife hachomoki humoo
AsanteWengi wao! Hongera sana!
Kuna mmoja alikuwa mfupi😁😁manina...aiseUnakuta mwingine shortiiii ana mzigo mcheshiii ma care kama yote ila tatizo hana pesaaa dahh!![emoji134]